-
Iran: Ufaransa ndiyo inayovuruga zaidi mazungumzo ya nyuklia
Aug 30, 2022 03:30Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amezungumzia mafanikio ya Iran katika uga wa teknolojia ya nyuklia na kusisitiza kuwa: Ufaransa ndiyo inayovuruga zaidi mazungumzo ya nyuklia.
-
Iran: Kinachotugusa zaidi katika mazungumzo ya nyuklia ni manufaa kiuchumi
Aug 05, 2022 23:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kinachoishughulisha zaidi Tehran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna ni manufaa yake ya kiuchumi.
-
Iran yasema iko tayari kwa mazungumzo lakini haikubali kushinikizwa
Feb 12, 2020 04:05Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijafunga mlango wa kufanya mazungumzo kuhusu mradi wake wa nyuklia lakini katu haiwezi kukubali kuburuzwa na kuwekwa chini ya mashinikizo.
-
Bahram Qassemi: Miradi ya nyuklia ya Iran haijakengeuka azimio nambari 2231
Oct 09, 2017 10:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa siasa za Iran kuimarisha makombora yake hazijakengeuka azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.