Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Jan 27, 2022 07:49

    Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Jan 26, 2022 12:13

    Makumi ya watu wameaga dunia kutokana na kimbunga kikali kilichoipiga Madagascar kwa siku kadhaa sasa.

  • Jeshi la Msumbiji lamuua kiongozi wa waasi wa chama kikuu cha upinzani

    Jeshi la Msumbiji lamuua kiongozi wa waasi wa chama kikuu cha upinzani

    Oct 12, 2021 08:04

    Kinara wa mrengo wa waasi wa Renamo, iliyokuwa harakati ya waasi na ambayo sasa ni chama kikuu cha siasa cha upinzani nchini Msumbiji ameuawa na wanajeshi wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Askari watoto wakombolewa na wanajeshi wa Msumbiji

    Askari watoto wakombolewa na wanajeshi wa Msumbiji

    Oct 06, 2021 12:45

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema vikosi vya serikali ya Msumbiji vimefanikiwa kuwakomboa watoto waliosajiliwa kwa nguvu na kutumiwa vitani na genge la kigaidi la al-Shabaab kaskazini mwa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Oct 05, 2021 08:10

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji ametoa mwito kwa magenge ya kigaidi kusalimu amri baada ya kinara wao kuuawa hivi karibuni kaskazini mwa nchi.

  • Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu, wauawa Msumbiji

    Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu, wauawa Msumbiji

    Oct 03, 2021 12:45

    Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu wa genge moja la kigaidi, wameuawa katika operesheni ya kiusalama iliyofanywa na wananjeshi wa kieneo huko kaskazini mwa Msumbiji.

  • Umoja wa Ulaya kutoa mafunzo kwa jeshi Msumbiji ili kupambana na Daesh

    Umoja wa Ulaya kutoa mafunzo kwa jeshi Msumbiji ili kupambana na Daesh

    Jul 13, 2021 10:06

    Umoja wa Ulaya umeanzisha rasmi kampeni ya kijeshi ya kutoa mafunzo kwa vikosi vya ulinzi vya Msumbiji vinavyopambana na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh huko katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado.

  • Ijumaa tarehe 25 Jun 2021

    Ijumaa tarehe 25 Jun 2021

    Jun 25, 2021 03:27

    Leo ni Ijumaa tarehe 14 Dhulqaada 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni mwaka 2021.

  • SADC yaafiki mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji

    SADC yaafiki mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji

    Jun 24, 2021 07:24

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC zimeafikiana juu ya mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji kuisaidia Maputo kupambana na magenge ya magaidi na waasi huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji

    Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji

    Jun 10, 2021 02:32

    Mwakilishi wa Taasisi ya Kulinda Watoto nchini Msumbiji imeripoti kuwa, magaidi nchini humo wanawateka nyara watoto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS