-
Ijumaa tarehe 25 Jun 2021
Jun 24, 2021 22:57Leo ni Ijumaa tarehe 14 Dhulqaada 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni mwaka 2021.
-
SADC yaafiki mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji
Jun 24, 2021 02:54Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC zimeafikiana juu ya mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji kuisaidia Maputo kupambana na magenge ya magaidi na waasi huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji
Jun 09, 2021 22:02Mwakilishi wa Taasisi ya Kulinda Watoto nchini Msumbiji imeripoti kuwa, magaidi nchini humo wanawateka nyara watoto.
-
UN yaiomba Tanzania iwape hifadhi raia wa Msumbiji wa Cabo Delgado wanaokimbia mapigano
May 19, 2021 01:58Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UBHCR limesema lina wasiwasi mkubwa na taarifa zinazoendelea za watu wanaokimbia jimboni Cabo Delgado nchini Msumbiji kurudishwa kwa nguvu baada ya kuvuka mpaka kuelekea nchi jirani ya Tanzania.
-
Amnesty International: Wazungu na mbwa waliokolewa kabla ya watu weusi huko Palma, Msumbiji
May 14, 2021 07:17Kundi la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake kwamba, wakandarasi wazungu walisafirishwa kwa ndege na kupelekwa maeneo yenye usalama kabla ya wenzao weusi baada ya shambulio la magaidi mwezi Machi mwaka huu katika mji Palma nchini Msumbiji.
-
Viongozi wa Msumbiji waeleza wasiwasi wao kuhusiana na harakati za kundi la Daesh nchini humo
Apr 11, 2021 22:21Katika miaka ya hivi karibuni makundi ya kigaidi yameimarisha harakati zao katika nchi mbalimbali za Kiafrika. Genge la Daesh ni miongoni wa makundi hayo ya kigaidi ambayo yamezidisha mashambulizi na harakati zao katika nchi za Afrika.
-
Jeshi la Msumbiji laua magaidi 36 katika mji wa Palma
Apr 10, 2021 08:02Msemaji wa jeshi la Msumbiji amesema askari wa nchi hiyo wamewaangamizi makumi ya wanamgambo katika operesheni ya usalama katika mji wa pwani wa Palma, kaskazini mwa nchi.
-
Msumbiji yatuma timu ya madaktari kutambua wahanga wa shambulio la kigaidi huko Palma
Apr 09, 2021 11:22Msemaji wa jeshi la Msumbiji amesema kuwa nchi hiyo inatuma timu ya madaktari ili kutambua miili ya watu 12 waliouawa katika shambulio la magaidi wenye uhusiano na kundi la Daesh katika machimbo ya gesi asilia kwenye mji wa Palma kaskazini mwa Msumbiji.
-
Viongozi wa SADC wanakutana kujadili vita dhidi ya ugaidi Msumbiji
Apr 07, 2021 22:04Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika, SADC, wanakutana leo katika mazungumzo ya dharura kuhusu mzozo unaoendelea nchini Msumbiji.
-
Raia 50 wa Afrika Kusini watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Msumbiji
Apr 04, 2021 06:28Afrika Kusini imesema raia wake zaidi ya 50 hawajulikani walipo mpaka sasa baada ya magaidi kuvamia na kuudhibiti mji wa Pwani wa Palma nchini Msumbiji, huku taarifa zikisema kuwa makumi ya watu wameuawa katika shambulio hilo.