Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mtoto wa Kipalestina

  • UNRWA: Nusu ya watoto wa Ukanda wa Ghaza wanahitaji msaada wa kisaikolojia

    UNRWA: Nusu ya watoto wa Ukanda wa Ghaza wanahitaji msaada wa kisaikolojia

    Nov 04, 2021 23:55

    Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa nusu ya watoto wa Kipalestina wanaoishi katika Ukanda wa Ghaza wanahitaji msaada wa kisaikolojia kutokana athari za vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.

  • Watoto wa Kipalestina, wahanga wa jinai za utawala haramu wa Israel

    Watoto wa Kipalestina, wahanga wa jinai za utawala haramu wa Israel

    Nov 22, 2019 07:07

    Kituo cha kutetea haki za wafungwa wa Kipalestina cha "Palestinian Prisoners Club" kilitangaza katika maadhimisho ya Siku ya Watoto Duniani iliyoadhimishwa tarehe 20 Novemba katika maeneo mbalimbali duniani kwamba, watoto 745 wa Kipalestina wametiwa mbaroni tangu ulipoanza mwaka huu wa 2019 hadi kufikia mwezi uliopita wa Oktoba.

  • Siku ya Kimataifa ya Mtoto na wasiwasi wa kuendelea mauaji dhidi ya watoto wa Kipalestina

    Siku ya Kimataifa ya Mtoto na wasiwasi wa kuendelea mauaji dhidi ya watoto wa Kipalestina

    Nov 21, 2018 02:37

    Tawi la Palestina la Harakati ya Kimataifa ya Kutetea Haki za Watoto, juzi Jumatatu ilitangaza katika taarifa yake kwamba, tangu kuanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa, wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi watoto 52 katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza.

  • Siku ya mshikamano na watoto wa Palestina

    Siku ya mshikamano na watoto wa Palestina

    Oct 02, 2018 08:12

    Tarehe Tisa mwezi Mehr ambayo ni sawa na Okotoba Mosi 2018 imepewa jina la Siku ya Kuonyesha Mshikamano kwa Watoto na Vijana wa Kipalestina katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Israel yakiri kwamba iliwaua kwa makusudi watoto wa Palestina katika vita vya siku 50 Gaza

    Israel yakiri kwamba iliwaua kwa makusudi watoto wa Palestina katika vita vya siku 50 Gaza

    Aug 13, 2018 07:48

    Polisi ya utawala haramu wa Israel imekiri kupitia uchunguzi uliofanyika kwamba iliwaua kwa makusudi watoto wanne wa familia moja ya Kipalestina katika vita vya siku 50 dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Watoto 291 Wapalestina wangali wanashikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni

    Watoto 291 Wapalestina wangali wanashikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni

    Jul 30, 2018 14:24

    Mjumbe wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema: watoto 291 Wapalestina wangali wanashikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wasiwasi wa asasi za kimataifa wa kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu vya Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina

    Wasiwasi wa asasi za kimataifa wa kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu vya Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina

    Jan 11, 2018 08:02

    Duru mpya ya vitendo vya utumiaji mabavu na kupenda kujitanua ya utawala ghasibu wa Israel iliyoanza mwanzoni mwa mwaka huu mpya wa 2018, imewafanya Wapalestina hususan watoto wa Kipalestina kuendelea kukabiliwa na jinai kubwa za utawala huo vamizi.

  • Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina

    Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina

    Jan 10, 2018 07:43

    Harakati ya Kimataifa ya Kuwatetea Watoto tawi la Palestina imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni mwaka uliopita wa 2017 uliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds.

  • Ripoti: Watoto wa Kipalestina wanateswa vibaya katika magereza ya kutisha ya Israel

    Ripoti: Watoto wa Kipalestina wanateswa vibaya katika magereza ya kutisha ya Israel

    Aug 07, 2017 03:43

    Kituo cha Uchunguzi wa Mateka wa Kipalestina kimetangaza kuwa, watoto wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala haramu wa Israel wamekuwa wakiadhibiwa na kuteswa vibaya.

  • Watoto 1,200 Wapalestina hutiwa nguvuni kila mwaka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Watoto 1,200 Wapalestina hutiwa nguvuni kila mwaka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Jul 26, 2017 03:08

    Mkuu wa masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa mateka na walioachiwa huru kutoka kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa watoto 1,200 Wapalestina hutiwa nguvuni kila mwaka na askari wa utawala huo haramu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS