Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muungano dhidi ya Daesh - ISIS

  • Serikali ya Libya yakomboa eneo jengine muhimu la kiistratijia

    Serikali ya Libya yakomboa eneo jengine muhimu la kiistratijia

    May 31, 2016 07:49

    Vikosi maalumu vya kulinda taasisi za mafuta nchini Libya vimefanikiwa kulikomboa eneo moja la kiistratijia mashariki mwa mji wa bandari wa Sirte wa kaskazini mwa nchi hiyo, kutoka mikono mwa kundi la kigaidi la ISIS yaani Daesh.

  • Jeshi la Iraq lakomboa vijiji kadhaa mkoani Anbar

    Jeshi la Iraq lakomboa vijiji kadhaa mkoani Anbar

    May 05, 2016 08:31

    Wanajeshi wa Iraq na makundi ya wanamgambo waitifaki wamefanikiwa kukomboa vijiji kadhaa vya mkoa wa Anbar wa magharibi mwa nchi hiyo ambavyo vimekuwa vikishikiliwa na magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh au ISIS.

  • Brigedia Jenerali Pourdastan: Wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walijaribu kupenya Iran wakashindwa

    Brigedia Jenerali Pourdastan: Wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walijaribu kupenya Iran wakashindwa

    Apr 11, 2016 13:33

    Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mwezi mmoja uliopita, wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walijaribu kupenya ili waingie Iran lakini jaribio lao hilo likafeli.

  • 'Jordan, UK zinaisaidia Kenya kukabiliana na Al Shabab'

    'Jordan, UK zinaisaidia Kenya kukabiliana na Al Shabab'

    Mar 28, 2016 07:12

    Imedaiwa kuwa Jordan na Uingerea zinashirikiana kwa siri kuisaidia Kenya kukabiliana na kundi la kigaidi la Al Shabab.

  • Ugaidi hauna mustakabali Mashariki ya Kati

    Ugaidi hauna mustakabali Mashariki ya Kati

    Mar 28, 2016 07:09

    Afisa mwandamizi wa Iran amepongeza ushindi wa hivi karibuni wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi wa ISIS (Daesh) katika mji wa Kihistoria wa Palmyra na kusema makundi ya kigaidi hayana mustakabali Mashariki ya Kati.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS