-
Makubaliano ya Bangladesh na Myanmar ya kushughulikia hali ya Waislamu wa Myanmar
Oct 25, 2017 14:52Jenerali Kyaw Swe, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Myanmar na mwenzake wa Bangladesh Asaduzzaman Khan, wamesaini hati mbili za maelewano za kustawisha ushirikiano wa mpakani na kuunda jopokazi la pamoja kwa lengo la kuchunguza hali ya Waislamu wakimbizi wa Rohingya.
-
Waislamu Warohingya Myanmar wanakabiliwa na mauaji ya kimbari
Oct 23, 2017 02:51Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar wanakabiliwa na mauaji ya kimbari kwa lengo la kuwamaliza kabisa katika nchi hiyo ya bara Asia.
-
The Gardian: UN inashirikiana na Myanmar kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Oct 17, 2017 15:12Gazeti la The Gardian linalochapishwa nchini Uingereza limefichua kuwa Umoja wa Mataifa unashirikiana na serikali ya Myanmar katika kuficha dhulma na ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Jeshi la Myanmar laendelea kuwaua Waislamu wa Rohingya
Oct 17, 2017 08:28Licha ya kuendelea kulaaniwa na kutolewa radimali kubwa kutoka pembe mbalimbali za dunia kuhusiana na jinai za jeshi na Mabudha magaidi wa Myanmar kuwalenga Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo, bado wimbi la mauaji na jinai kubwa dhidi ya watu hao zinaendelea kila siku.
-
Wimbi jipya la maelfu ya Waislamu Warohingya wanaokimbia mauaji na njaa Myanmar
Oct 17, 2017 04:25Maelfu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya mapema Jumatatu wamewasili nchini Bangladesh wakitokea Myanmar wanakokabiliwa na mauaji ya umati yanayotekelezwa na Mabudhha wenye misimamo mikali.
-
Jumuiya ya Mabunge yalaani jinai dhidi ya Waislamu wa Mynamar
Oct 16, 2017 13:41Jumuiya ya Mabunge imelaani mauaji na jinai dhidi ya Waislamu Warohingya wa Myanmar katika kikao chake huko Saint Petersburg nchini Russia mkutano ambao umefanyika kwa ubunifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu
Oct 16, 2017 08:14Idara ya Huduma za Kijamii nchini Bangladesh imesema watoto karibu 14 elfu wa Rohingya wamekuwa mayatima baada ya kupoteza wazazi wao katika mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii hiyo nchini Myanmar.
-
Kofi Annan: Baraza la Usalama la UN liishinikize Myanmar iwarejeshe Waislamu kwa heshima
Oct 14, 2017 15:26Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan, amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo liishinikize serikali ya Myanmar iandae mazingira ya kurejea nchini humo Waislamu zaidi ya laki tano wa Rohingya waliohamishwa makwao kwa nguvu na kukimbilia Bangladesh kutokana na ukandamizaji wa jeshi.
-
Myanmar inawanyima chakula Waislamu wa jamii ya Rohingya
Oct 13, 2017 14:19Shirika moja la kutetea haki za binadamu linasema serikali ya Myanmar inazuia kwa makusudi chakula kuwafikia Waislamu wa jamii ya Rohingya kwa lengo la kuwalazimisha kukimbia ardhi yao ya jadi nchini humo.
-
UN yatoa ripoti ya kushtusha kuhusu jinai za jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu
Oct 12, 2017 03:39Ofisi ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa imekiri kuwa jeshi la Myanmar limetenda jinai dhidi ya Waislamu Warohingya.