Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Amnesty: Kuzama kwa wakimbizi wa Rohingya ni ishara ya kuendelea dhulma huko Myanmar

    Amnesty: Kuzama kwa wakimbizi wa Rohingya ni ishara ya kuendelea dhulma huko Myanmar

    Oct 10, 2017 15:45

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, vifo vya Waislamu wa Rohingya vinavyotokea baharini wakikimbilia Bangladesh ni ishara ya kuendelea ukandamizaji na dhulma dhidi ya jamii hiyo ya waliowachache katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar.

  • Matatizo ya wakimbizi wa Rohingya yaongezeka

    Matatizo ya wakimbizi wa Rohingya yaongezeka

    Oct 09, 2017 08:39

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kuanzishwa kambi yenye idadi kubwa ya wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya wa Myanmar nchini Bangladesh ni hatari kubwa na umesisitiza kuwa, hatua hiyo inaweza kusababisha matatizo mengi ikiwa ni pamoja na kuenea magonjwa ya kuambukiza.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh

    UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh

    Oct 08, 2017 08:07

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kutoandaliwa kambi kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi Waislamu wa Rohingya wapatao laki nane huko Bangladesh ni jambo hatari sana.

  • Mauaji ya Waislamu wa Myanmar bado yanaendelea, wakimbizi wakumbwa na maradhi

    Mauaji ya Waislamu wa Myanmar bado yanaendelea, wakimbizi wakumbwa na maradhi

    Oct 07, 2017 00:16

    Duru za habari kutoka Bangladesh zimearifu kwamba hadi sasa jeshi la serikali ya Myanmar kwa kushirikiana na Mabudha magaidi, linaendeleza mauaji na jinai kubwa dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi wa kabila la Rohingywa wa nchi hiyo.

  • Waisraeli wakiri kuhusika na mauaji ya kizazi ya Waislamu wa Rohingya

    Waisraeli wakiri kuhusika na mauaji ya kizazi ya Waislamu wa Rohingya

    Oct 06, 2017 08:06

    Mtaalamu mmoja mashuhuri wa Israeil amesema kuwa Tel Aviv inahusika katika mauaji ya kimbari ya Waislamu wasio na hatia wala ulinzi nchini Myanmar.

  • Ayatullah Shirazi: Iran izidishe mashinikizo dhidi ya serikali ya Myanmar

    Ayatullah Shirazi: Iran izidishe mashinikizo dhidi ya serikali ya Myanmar

    Oct 06, 2017 04:41

    Ayatullah Makarim Shirazi ambaye ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa wa Kiislamu nchini Iran ameitaka serikali ya Tehran kuzidisha mashinikizo dhidi ya serikali ya Myanmar kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wa nchi hiyo wakishirikiana na jeshi la serikali dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • HRW: Jeshi la Myanmar linawaua na kuwanajisi Waislamu wa Myanmar

    HRW: Jeshi la Myanmar linawaua na kuwanajisi Waislamu wa Myanmar

    Oct 05, 2017 07:56

    Shirika la kutetea haki za binadmau la Human Rights Watch (HRW) limesema jeshi la Myanmar linawaua kiholela na kuwanajisi Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo.

  • Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Oct 02, 2017 14:18

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala haramu wa Israel una nafasi katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Warohingya wa Myanmar yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.

  • Katibu Mkuu wa UN ajibu tuhuma za Myanmar dhidi ya afisa wa umoja huo

    Katibu Mkuu wa UN ajibu tuhuma za Myanmar dhidi ya afisa wa umoja huo

    Sep 30, 2017 16:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezitaja tuhuma zilizotolewa na serikali ya Myanmar dhidi ya Mratibu wa Umoja wa Mataifa kuwa si sahihi.

  • Antonio Guterres: Hali ya mambo magharibi mwa Myanmar ni

    Antonio Guterres: Hali ya mambo magharibi mwa Myanmar ni "jinamizi" la kibinadamu

    Sep 29, 2017 03:28

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Myanmar isitishe mashambulio yake dhidi ya Waislamu magharibi na mwa nchi hiyo na iandae mazingira ya wananchi hao kupatiwa himaya na misaada ya kibinadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS