-
Waislamu 14 wa Rohingya wafa maji baada ya boti yao kuzama
Sep 28, 2017 14:23Kwa akali Waislamu 14 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia katika Mto Naf katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh baada ya boti yao kuzama, wakikimbia mauaji na ukandamizaji unaofanywa na wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo.
-
Israel inaendelea kulipatia silaha jeshi la Myanmar
Sep 27, 2017 04:17Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unaendelea kusafirisha silaha kuelekea Myanmar kwa ajili ya jeshi la nchi hiyo.
-
UNHCR: Misaada zaidi inahitajika kwa ajili ya Waislamu Warohingya
Sep 26, 2017 16:01Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuongeza mara mbili juhudi za kuwasaidia wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbia mauaji ya umati Myanmar na kupata hifadhi nchini Bangladesh.
-
UNHCR: Waislamu Warohingya wa Myanmar wanahitajia misaada ya kibinadamu
Sep 25, 2017 04:40Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR amesema kuwa, Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar wanahitajia misaada ya kibinadamu na kwamba, Waislamu hao wamevumilia mateso na madhara mengi ya kisaikolojia.
-
Umoja wa Mataifa: Wimbi la wakimbizi wa Myanmar ndilo kubwa zaidi katika miongo ya hivi karibuni
Sep 24, 2017 03:32Ofisi ya ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imetangaza kuwa, hadi sasa Waislamu laki saba wa jamii ya Rohingya wa Myanmar wamelazimika kukimbilia nchi jirani ya Banghladesh na kwamba, wimbi hilo la wakimbizi ndilo kubwa zaidi katika miango ya hivi karibuni.
-
Waislamu Warohingya wanaendelea kuangamizwa kwa umati
Sep 23, 2017 08:04Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema ushahidi unaonyesha kuwa nyumba za Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar zinaendelea kuteketezwa katika jimbo la Rakhine.
-
UNICEF: Asilimia 60 ya wakimbizi wa Rohingya ni watoto wadogo
Sep 23, 2017 02:36Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, karibu asilimia 60 ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbilia Bangladesh kutokana na mauaji na ukatili unaofanywa na Mabudha na jeshi la Myanmar, ni watoto wadogo.
-
Kuhusu Waislamu wa Rohingya, Suu Kyi ni mdanganyifu
Sep 21, 2017 02:27Wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya wanaoishi makambini nchini Bangladesh wamesema hotuba aliyotoa Aun San Suu Kyi Waziri wa Mambo ya Nje na ambaye pia ni Mshauri Mkuu wa Serikali ya Myanmar ni ya udanganyifu.
-
Mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Sep 20, 2017 07:48Waislamu wengi katika pembe mbalimbali za dunia wanakumbana na ubaguzi na aina mbalimbali za ukatili wa kidini, kikaumu na kikabila.
-
Rais Rouhani ataka serikali ya Myanmar isitishe mauaji ya kimbari ya Waislamu
Sep 19, 2017 16:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar ni ya kusikitisha huku akisisitiza udharura wa kuishinikiza serikali ya Myanmar ili isitishe mauaji ya kimbari na ukandamizaji dhidi ya Waislamu Warohingya.