Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Kiongozi wa Myanmar atetea mauaji yanayotekelezwa dhidi ya Waslamu wa Rohingya

    Kiongozi wa Myanmar atetea mauaji yanayotekelezwa dhidi ya Waslamu wa Rohingya

    Sep 19, 2017 07:40

    Kiongozi wa Myanmar hatimaye amevunja kimya chake kuhusiana na jinai na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaotekelezwa na magaidi wa Kibudha pamoja na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya wanaoishi katika jimbo la Rakhine, ukiukaji ambao Umoja wa Mataifa umeutaja kuwa ni sawa na maangamizi ya kizazi dhidi ya Waislamu hao.

  • HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu

    HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu

    Sep 18, 2017 13:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Antonio Guterres amtaka Suu Kyi azuie mauaji ya Waislamu wa Myanmar

    Antonio Guterres amtaka Suu Kyi azuie mauaji ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 17, 2017 12:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemkosoa vikali Aung Suu Kyi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Myanmar na mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel na kumtaka achukue hatua za kusitisha mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Ayatullah Khatami: Mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar, ni maafa makubwa ya kibinaadamu

    Ayatullah Khatami: Mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar, ni maafa makubwa ya kibinaadamu

    Sep 15, 2017 13:57

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran, Ayatullah Sayyid Ahmad Khatami amesema kuwa, mauaji kuwalenga Waislamu wa Myanmar ni maafa makubwa ya kibinaadamu na kwamba, utawala haramu wa Israel unahusika nyuma ya pazia katika mauaji na kuwafanya malaki ya Waislamu kuwa wakimbizi.

  • Kamisheni ya Ulaya: Utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar unasikitisha mno

    Kamisheni ya Ulaya: Utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar unasikitisha mno

    Sep 15, 2017 03:49

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amelaani vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar na kuvitaja kuwa ni maafa ya kusikitisha mno.

  • Jumuiya ya Waislamu wa Suni Pakistan: Iran ndio muungaji mkono wa kweli kwa Waislamu wa Myanmar

    Jumuiya ya Waislamu wa Suni Pakistan: Iran ndio muungaji mkono wa kweli kwa Waislamu wa Myanmar

    Sep 14, 2017 04:37

    Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Suni nchini Pakistan amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono wa kweli kwa Waislamu wa Rohingya wanaokandamizwa nchini Myanmar.

  • UN kusaidia Waislamu Warohingya waliokimbia  Myanmar

    UN kusaidia Waislamu Warohingya waliokimbia Myanmar

    Sep 13, 2017 07:48

    Idadi ya Waislamu wa jamii Warohingya ambao wanakimbia mateso na mauaji huko Myanmar inaongezeka kila uchao katika hali ambayo, mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wao wanaendelea kuhakikisha wanafikisha misaada ya dharura kwa wakimbizi hao ambao wengi wao ni Waislamu.

  • Nigeria yaitaka UN kusitisha maangamizi ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Nigeria yaitaka UN kusitisha maangamizi ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Sep 12, 2017 15:03

    Nigeria imelaani maangamizi yanayofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya na kuutaka Umoja wa Mataifa kutekeleza majukumu yake na kusitisha operesheni za kijeshi za kuwahamisha kwa mabavu Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Kiongozi Muadhamu: Ufumbuzi wa suala la Myanmar ni nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo

    Kiongozi Muadhamu: Ufumbuzi wa suala la Myanmar ni nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo

    Sep 12, 2017 07:56

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya na kutochukua hatua jumuiya za kimataifa na wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na matukio ya maafa yanayojiri Myanmar na kusisitiza kwamba: Njia ya utatuzi wa kadhia hii ni kuchukuliwa hatua za kivitendo na nchi za Kiislamu na kuishinikiza kisiasa na kiuchumi serikali isiyo na huruma ya Myanmar.

  • Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu yalaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu yalaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 12, 2017 04:41

    Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu imelaani vikali mauaji na jinai dhidi ya Waislamu Warohingya wa nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS