Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77

    Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77

    Jul 03, 2022 03:19

    Watu karibu 80 waliokuwa wameshikwa mateka na kasisi mmoja ndani ya kanisa huko nchini Nigeria, wameokolewa katika operesheni ya maafisa usalama.

  • Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara

    Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara

    Jul 01, 2022 21:53

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanachama wa genge moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba

    Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba

    Jun 23, 2022 20:47

    Mahakama moja nchini Nigeria jana Alkhamisi iliakhirisha uamuzi wake kuhusu shauri lililowasilishwa mbele yake likipinga utekelezwaji wa Sheria za Kiislamu (Sheria) katika jimbo la Kano la kaskazini mwa nchi.

  • UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria

    UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria

    Jun 22, 2022 03:27

    Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Nigeria ambaye pia ni mratibu wa misaada ya kibinadamu nchini humo Matthias Schmale amesema zaidi ya watu milioni 4.1 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo wanahitaji msaada wa haraka wa chakula katika msimu wa mwambo utakao anza hivi karibuni.

  •  Magaidi Nigeria wawaachia huru watu 11 waliowateka katika shambulio dhidi ya treni

    Magaidi Nigeria wawaachia huru watu 11 waliowateka katika shambulio dhidi ya treni

    Jun 12, 2022 03:25

    Abiria 11 kati ya 61 waliotekwa nyara na genge la wabeba silaha katika shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, Kaskazini Magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru.

  • Abdollahian: Iran haina vizingiti katika kukuza ushirikiano wake na Nigeria

    Abdollahian: Iran haina vizingiti katika kukuza ushirikiano wake na Nigeria

    Jun 12, 2022 00:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haina vizingiti vyovyote katika njia ya kustawisha uhusiano wake na Nigeria.

  • Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Jun 11, 2022 02:57

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.

  • Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad

    Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad

    Jun 10, 2022 22:04

    Mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni za Vikosi vya Pamoja vya Kimataifa (MNJTF) katika eneo la Ziwa Chad, magharibi mwa Afrika.

  • Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua makumi Nigeria

    Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua makumi Nigeria

    Jun 07, 2022 03:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu kanisani huko Nigeria hivi karibuni, sanjari na kutoa mkono wa pole kwa serikali ya Abuja na familia za raia wa nchi hiyo ambao waliuawa katika hujuma hiyo.

  • Watu 50 wauawa katika hujuma kanisani Nigeria, Rais Buhari alaani ukatili huo

    Watu 50 wauawa katika hujuma kanisani Nigeria, Rais Buhari alaani ukatili huo

    Jun 06, 2022 03:21

    Watu zaidi ya 50 wakiwemo wanawake na watoto, wameuawa baada ya genge lenye silaha kushambulia kanisa moja la kikatoliki kaskazini magharibi mwa Nigeria wakati wa ibada ya Jumapili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS