Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad

    Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad

    Jun 10, 2022 22:04

    Mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni za Vikosi vya Pamoja vya Kimataifa (MNJTF) katika eneo la Ziwa Chad, magharibi mwa Afrika.

  • Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua makumi Nigeria

    Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua makumi Nigeria

    Jun 07, 2022 03:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu kanisani huko Nigeria hivi karibuni, sanjari na kutoa mkono wa pole kwa serikali ya Abuja na familia za raia wa nchi hiyo ambao waliuawa katika hujuma hiyo.

  • Watu 50 wauawa katika hujuma kanisani Nigeria, Rais Buhari alaani ukatili huo

    Watu 50 wauawa katika hujuma kanisani Nigeria, Rais Buhari alaani ukatili huo

    Jun 06, 2022 03:21

    Watu zaidi ya 50 wakiwemo wanawake na watoto, wameuawa baada ya genge lenye silaha kushambulia kanisa moja la kikatoliki kaskazini magharibi mwa Nigeria wakati wa ibada ya Jumapili.

  • Watu 8 wameaga dunia baada ya jengo la ghorofa tatu kuporomoka Lagos, Nigeria

    Watu 8 wameaga dunia baada ya jengo la ghorofa tatu kuporomoka Lagos, Nigeria

    May 03, 2022 00:13

    Watu wasiopungua 8 wamepoteza maisha baada ya jengo la ghorofa tatu kuporomoka katika jimbo la Lagos nchini Nigeria.

  • Zaidi ya 100 waaga dunia katika mripuko kwenye kiwanda cha mafuta Nigeria

    Zaidi ya 100 waaga dunia katika mripuko kwenye kiwanda cha mafuta Nigeria

    Apr 24, 2022 03:31

    Watu zaidi ya 100 wamepoteza maisha katika mripuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kusafisha mafuta ghafi kusini mwa Nigeria.

  • Benki ya Dunia: Idadi ya maskini nchini Nigeria kupindukia milioni 95

    Benki ya Dunia: Idadi ya maskini nchini Nigeria kupindukia milioni 95

    Apr 15, 2022 21:55

    Benki ya Dunia imetahadharisha kuwa, idadi ya watu wanaosumbuliwa na umaskini na ukata wa kupindukia nchini Nigeria itaongezeka na kufikia watu milioni 95.1 mwaka huu 2022.

  • Watu wasiopungua 28 wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka katika mto Shagari, Nigeria

    Watu wasiopungua 28 wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka katika mto Shagari, Nigeria

    Apr 13, 2022 22:23

    Watu wasiopungua 28 wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Watu hao walikumbwa na mauti jioni ya Jumanne wiki hii wakati walipokuwa wakijaribu kuvuka mto Shagari kwa ajili ya kutafuta kuni.

  • Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Apr 12, 2022 05:57

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kuishinikiza serikali ya nchi hiyo impe Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo pasipoti yake ya kusafiria iliyotwaa.

  • Vita vya kurithi mikoba ya Buhari vyaanza kupamba moto Nigeria, Osinbajo atangaza nia

    Vita vya kurithi mikoba ya Buhari vyaanza kupamba moto Nigeria, Osinbajo atangaza nia

    Apr 11, 2022 07:12

    Vita vya kurithi mikoba ya Rais wa sasa wa Nigeria, Muhammad Buhari, vinapamba moto mapema kati ya wanasiasa kadiri muhula wa pili wa Muhammadu Buhari unavyozidi kuyoyoma.

  • Watu 168 hawajulikani waliko baada ya magaidi kushambulia treni Nigeria

    Watu 168 hawajulikani waliko baada ya magaidi kushambulia treni Nigeria

    Apr 05, 2022 02:44

    Shirika la Reli la Nigeria (NRC) imetangaza kuwa hatima ya watu 168 haijulikani mpaka sasa, kufutia shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, Kaskazini mwa nchi siku chache zilizopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS