Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Maandamano ya kupinga kufungiwa chaneli 53 za redio na televisheni Nigeria yaipigisha magoti serikali

    Maandamano ya kupinga kufungiwa chaneli 53 za redio na televisheni Nigeria yaipigisha magoti serikali

    Aug 26, 2022 22:53

    Serikali ya Nigeria imelegeza msimamo kufuatia maandamano ya kupinga na kulalamikia kusimamishwa shughuli za chaneli 53 za redio na televisheni nchini humo.

  • Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Aug 12, 2022 21:00

    Kwa akali wanamgambo 29 wameuawa huku wengine wasiopungua 55 wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura

    Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura

    Aug 08, 2022 22:46

    Askari wa serikai ya Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Husain AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.

  • Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura

    Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura

    Aug 08, 2022 03:03

    Wananchi Waislamu hapa Iran na Nigeria jana na leo wameungana na mamilioni ya wafuasi wengine wa Ahlul-Baiti (as) duniani kote katika kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS.

  • Makumi ya magaidi wauawa katika mji mkuu wa Nigeria

    Makumi ya magaidi wauawa katika mji mkuu wa Nigeria

    Jul 29, 2022 23:11

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi lililowashambulia askari wa Brigedi ya Gadi ya Rais na kuua wanane miongoni mwao mapema mwezi huu katika eneo la Bwari, mjini Abuja.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno

    Jul 18, 2022 03:08

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 46 wa kundi la kigadi la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.

  • AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    Jul 15, 2022 22:16

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimepokea askari polisi 160 kutoka Nigeria, watakaikisaidia katika jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77

    Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77

    Jul 03, 2022 03:19

    Watu karibu 80 waliokuwa wameshikwa mateka na kasisi mmoja ndani ya kanisa huko nchini Nigeria, wameokolewa katika operesheni ya maafisa usalama.

  • Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara

    Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara

    Jul 01, 2022 21:53

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanachama wa genge moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba

    Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba

    Jun 23, 2022 20:47

    Mahakama moja nchini Nigeria jana Alkhamisi iliakhirisha uamuzi wake kuhusu shauri lililowasilishwa mbele yake likipinga utekelezwaji wa Sheria za Kiislamu (Sheria) katika jimbo la Kano la kaskazini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS