-
Maandamano ya kupinga kufungiwa chaneli 53 za redio na televisheni Nigeria yaipigisha magoti serikali
Aug 26, 2022 22:53Serikali ya Nigeria imelegeza msimamo kufuatia maandamano ya kupinga na kulalamikia kusimamishwa shughuli za chaneli 53 za redio na televisheni nchini humo.
-
Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria
Aug 12, 2022 21:00Kwa akali wanamgambo 29 wameuawa huku wengine wasiopungua 55 wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura
Aug 08, 2022 22:46Askari wa serikai ya Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Husain AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
-
Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura
Aug 08, 2022 03:03Wananchi Waislamu hapa Iran na Nigeria jana na leo wameungana na mamilioni ya wafuasi wengine wa Ahlul-Baiti (as) duniani kote katika kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS.
-
Makumi ya magaidi wauawa katika mji mkuu wa Nigeria
Jul 29, 2022 23:11Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi lililowashambulia askari wa Brigedi ya Gadi ya Rais na kuua wanane miongoni mwao mapema mwezi huu katika eneo la Bwari, mjini Abuja.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno
Jul 18, 2022 03:08Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 46 wa kundi la kigadi la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.
-
AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia
Jul 15, 2022 22:16Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimepokea askari polisi 160 kutoka Nigeria, watakaikisaidia katika jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77
Jul 03, 2022 03:19Watu karibu 80 waliokuwa wameshikwa mateka na kasisi mmoja ndani ya kanisa huko nchini Nigeria, wameokolewa katika operesheni ya maafisa usalama.
-
Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara
Jul 01, 2022 21:53Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanachama wa genge moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba
Jun 23, 2022 20:47Mahakama moja nchini Nigeria jana Alkhamisi iliakhirisha uamuzi wake kuhusu shauri lililowasilishwa mbele yake likipinga utekelezwaji wa Sheria za Kiislamu (Sheria) katika jimbo la Kano la kaskazini mwa nchi.