-
Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad
Jun 10, 2022 22:04Mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni za Vikosi vya Pamoja vya Kimataifa (MNJTF) katika eneo la Ziwa Chad, magharibi mwa Afrika.
-
Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua makumi Nigeria
Jun 07, 2022 03:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu kanisani huko Nigeria hivi karibuni, sanjari na kutoa mkono wa pole kwa serikali ya Abuja na familia za raia wa nchi hiyo ambao waliuawa katika hujuma hiyo.
-
Watu 50 wauawa katika hujuma kanisani Nigeria, Rais Buhari alaani ukatili huo
Jun 06, 2022 03:21Watu zaidi ya 50 wakiwemo wanawake na watoto, wameuawa baada ya genge lenye silaha kushambulia kanisa moja la kikatoliki kaskazini magharibi mwa Nigeria wakati wa ibada ya Jumapili.
-
Watu 8 wameaga dunia baada ya jengo la ghorofa tatu kuporomoka Lagos, Nigeria
May 03, 2022 00:13Watu wasiopungua 8 wamepoteza maisha baada ya jengo la ghorofa tatu kuporomoka katika jimbo la Lagos nchini Nigeria.
-
Zaidi ya 100 waaga dunia katika mripuko kwenye kiwanda cha mafuta Nigeria
Apr 24, 2022 03:31Watu zaidi ya 100 wamepoteza maisha katika mripuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kusafisha mafuta ghafi kusini mwa Nigeria.
-
Benki ya Dunia: Idadi ya maskini nchini Nigeria kupindukia milioni 95
Apr 15, 2022 21:55Benki ya Dunia imetahadharisha kuwa, idadi ya watu wanaosumbuliwa na umaskini na ukata wa kupindukia nchini Nigeria itaongezeka na kufikia watu milioni 95.1 mwaka huu 2022.
-
Watu wasiopungua 28 wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka katika mto Shagari, Nigeria
Apr 13, 2022 22:23Watu wasiopungua 28 wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Watu hao walikumbwa na mauti jioni ya Jumanne wiki hii wakati walipokuwa wakijaribu kuvuka mto Shagari kwa ajili ya kutafuta kuni.
-
Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake
Apr 12, 2022 05:57Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kuishinikiza serikali ya nchi hiyo impe Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo pasipoti yake ya kusafiria iliyotwaa.
-
Vita vya kurithi mikoba ya Buhari vyaanza kupamba moto Nigeria, Osinbajo atangaza nia
Apr 11, 2022 07:12Vita vya kurithi mikoba ya Rais wa sasa wa Nigeria, Muhammad Buhari, vinapamba moto mapema kati ya wanasiasa kadiri muhula wa pili wa Muhammadu Buhari unavyozidi kuyoyoma.
-
Watu 168 hawajulikani waliko baada ya magaidi kushambulia treni Nigeria
Apr 05, 2022 02:44Shirika la Reli la Nigeria (NRC) imetangaza kuwa hatima ya watu 168 haijulikani mpaka sasa, kufutia shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, Kaskazini mwa nchi siku chache zilizopita.