-
Watu 8 wauawa baada ya magaidi kushambulia treni Kaduna, Nigeria
Mar 30, 2022 02:14Watu wasiopungua wanane wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
-
Wanachama 7,000 wa Boko Haram, ISWAP wajisalimisha Nigeria
Mar 23, 2022 23:01Wanachama wasiopungua 7,000 wa kundi la kigaidi la Boko Haram na wenzao wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP) wamejisalimisha kwa maafisa usalama katika kipindi cha wiki moja iliyopita kaskazini mwa Nigeria.
-
'Kafyu' yatangazwa kaskazini magharibi mwa Nigeria baada ya 83 kuuawa
Mar 22, 2022 08:07Serikali ya jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa Nigeria imetoa agizo la kutotoka nje nyakati za usiku na mchana, baada ya makumi ya watu kuuawa katika mashambulizi ya makundi ya wabeba silaha katika eneo hilo.
-
Watu 16 wauawa katika shambulizi la 'magaidi' Zamfara Nigeria
Mar 22, 2022 01:56Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi la genge la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Watu 100 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi ya Nigeria
Mar 12, 2022 04:30Watu wapatao 100 wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la maharamia na magaidi kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Kesi za maambukizi ya corona zaongezeka Nigeria baada ya wanafunzi kurejea nchini wakitokea Ukraine
Mar 11, 2022 01:13Nigeria imetangaza ongezeko la maambukizo ya Covid-19 siku moja baada ya kusajili idadi ndogo zaidi ya kila siku iliyorekodiwa tangu kuanza kwa janga hilo.
-
Watu wenye silaha Nigeria wauwa watu wasiopungua 57
Mar 09, 2022 08:50Waombolezaji huko kaskazini magharibi mwa Nigeria jana waliwazika ndugu zao baada ya kuibuka mapigano kati ya kikundi cha walinda usalama wa jamii na watu wenye silaha wasiojulikana na kusababisha kuuliwa watu wasiopungua 57.
-
Gavana wa Borno Nigeria aonya kuhusu kundi la kigaidi la ISWAP
Feb 27, 2022 04:41Gavana wa Jimbo la Borno, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria hivi karibuni alionya kuhusu hatari ya kuenea satwa ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).
-
Shambulio la anga la Nigeria laua watoto saba, lajeruhi watano nchini Niger
Feb 21, 2022 04:14Watoto saba wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa katika shambulio la anga ambalo imeelezwa kuwa limefanywa kimakosa na jeshi la Nigeria katika eneo la Maradi kusini mwa Niger.
-
Turathi zilizoibiwa na mkoloni Muingereza zarejeshwa Nigeria baada ya karne
Feb 20, 2022 04:26Turathi mbili muhimu za kihistoria za Nigeria zilizoibiwa na Uingereza katika enzi za ukoloni hatimaye zimerejeshwa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, baada ya kupita zaidi ya miaka mia moja.