Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu wasiopungua 28 wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka katika mto Shagari, Nigeria

    Watu wasiopungua 28 wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka katika mto Shagari, Nigeria

    Apr 13, 2022 22:23

    Watu wasiopungua 28 wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Watu hao walikumbwa na mauti jioni ya Jumanne wiki hii wakati walipokuwa wakijaribu kuvuka mto Shagari kwa ajili ya kutafuta kuni.

  • Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Wanigeria waandamana kutaka Zakzaky apewe paspoti yake

    Apr 12, 2022 05:57

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kuishinikiza serikali ya nchi hiyo impe Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo pasipoti yake ya kusafiria iliyotwaa.

  • Vita vya kurithi mikoba ya Buhari vyaanza kupamba moto Nigeria, Osinbajo atangaza nia

    Vita vya kurithi mikoba ya Buhari vyaanza kupamba moto Nigeria, Osinbajo atangaza nia

    Apr 11, 2022 07:12

    Vita vya kurithi mikoba ya Rais wa sasa wa Nigeria, Muhammad Buhari, vinapamba moto mapema kati ya wanasiasa kadiri muhula wa pili wa Muhammadu Buhari unavyozidi kuyoyoma.

  • Watu 168 hawajulikani waliko baada ya magaidi kushambulia treni Nigeria

    Watu 168 hawajulikani waliko baada ya magaidi kushambulia treni Nigeria

    Apr 05, 2022 02:44

    Shirika la Reli la Nigeria (NRC) imetangaza kuwa hatima ya watu 168 haijulikani mpaka sasa, kufutia shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, Kaskazini mwa nchi siku chache zilizopita.

  • Watu 8 wauawa baada ya magaidi kushambulia treni Kaduna, Nigeria

    Watu 8 wauawa baada ya magaidi kushambulia treni Kaduna, Nigeria

    Mar 30, 2022 02:14

    Watu wasiopungua wanane wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.

  • Wanachama 7,000 wa Boko Haram, ISWAP wajisalimisha Nigeria

    Wanachama 7,000 wa Boko Haram, ISWAP wajisalimisha Nigeria

    Mar 23, 2022 23:01

    Wanachama wasiopungua 7,000 wa kundi la kigaidi la Boko Haram na wenzao wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP) wamejisalimisha kwa maafisa usalama katika kipindi cha wiki moja iliyopita kaskazini mwa Nigeria.

  • 'Kafyu' yatangazwa kaskazini magharibi mwa Nigeria baada ya 83 kuuawa

    'Kafyu' yatangazwa kaskazini magharibi mwa Nigeria baada ya 83 kuuawa

    Mar 22, 2022 08:07

    Serikali ya jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa Nigeria imetoa agizo la kutotoka nje nyakati za usiku na mchana, baada ya makumi ya watu kuuawa katika mashambulizi ya makundi ya wabeba silaha katika eneo hilo.

  • Watu 16 wauawa katika shambulizi la 'magaidi' Zamfara Nigeria

    Watu 16 wauawa katika shambulizi la 'magaidi' Zamfara Nigeria

    Mar 22, 2022 01:56

    Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi la genge la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Watu 100 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi ya Nigeria

    Watu 100 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi ya Nigeria

    Mar 12, 2022 04:30

    Watu wapatao 100 wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi la maharamia na magaidi kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Kesi za maambukizi ya corona zaongezeka Nigeria baada ya wanafunzi kurejea nchini wakitokea Ukraine

    Kesi za maambukizi ya corona zaongezeka Nigeria baada ya wanafunzi kurejea nchini wakitokea Ukraine

    Mar 11, 2022 01:13

    Nigeria imetangaza ongezeko la maambukizo ya Covid-19 siku moja baada ya kusajili idadi ndogo zaidi ya kila siku iliyorekodiwa tangu kuanza kwa janga hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS