-
Wanafunzi 30 waliotekwa nyara waachiwa huru kaskazini magharibi mwa Nigeria
Jan 09, 2022 23:18Wanafunzi waliokuwa wametekwa nyara kaskazini magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru baada ya kushikiliwa na wanamgambo wenye silaha kwa muda wa miezi saba.
-
Wanavijiji 200 wameuawa katika mashambulizi ya Zamfara Nigeria
Jan 09, 2022 10:04Viongozi wa serikali katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria wametangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia katika mashambulizi ya magenge ya wabeba silaha katika eneo hilo imeongezeka na kufikia watu 200.
-
Sheikh Zakzaky: Kamanda Soleimani alikuwa mwanastratejia aliyezima njama za maadui Syria na Iraq
Jan 03, 2022 23:22Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema, njia ya Muqawama, in shaa Allah itakamilika kwa kudhihiri Imam wa Zama (Allah Aharakishe Kudhihiri Kwake).
-
Wanamgambo 100 wa ISIS wauawa katika mashambulizi ya anga kaskazini mwa Nigeria
Dec 22, 2021 10:07Shirika la habari la Ufaransa limenukuu vyanzo vya kijeshi na vya ndani vikisema kuwa wapiganaji 100 wa kundi la kigaidi la ISIS waliuawa wiki iliyopita katika mashambulizi ya jeshi la Nigeria dhidi ya kambi za kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria
Dec 13, 2021 04:49Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria wameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa sita tangu yalipotokea mauaji ya kinyama yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya Nigeria dhidi ya Waislamu katika mji wa Zaria
-
Sheikh Zakzaky aadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria
Dec 05, 2021 11:04Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amewaongoza Waislamu wa Nigeria katika maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.
-
Nigeria yashambulia asasi ya Marekani kwa kuipaka matope
Nov 15, 2021 08:18Serikali ya Nigeria imeijia juu asasi moja isiyo ya kiserikali ya Marekani iliyodai kuwa, utawala wa nchi hiyo ya Afrika Magharibi unaunga mkono ugaidi.
-
Raia 15 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria
Nov 11, 2021 22:53Watu wasiopungua 15 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiiwa katika viijiji vya kusini mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulio ya ulipizaji kisasi yaliyotokelezwa na kundi la majambazi.
-
Kiongozi wa wanaotaka kujitenga Biafra (IPOB), kufikishwa mahakamani leo
Nov 10, 2021 03:02Kiongozi wa Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), wanaotaka kujitenga eneo la kusini mashariki mwa Nigeria, anatazamiwa kurejeshwa mahakamani hii leo Jumatano katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
-
Mgodi wa dhahabu waporomoko na kuua watu 85 nchini Nigeria
Nov 09, 2021 04:38Makumi ya wachimba migodi wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu nchini Nigeria.