-
Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni ya Waislamu wote ulimwenguni
Feb 07, 2022 09:21Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran hayaishii tu katika mipaka ya Iran na wananchi wa taifa hili bali ni mali ya Waislamu wote ulimwenguni.
-
Sheikh Zakzaky awataka walimwengu wakabiliane na mashambulio ya Saudia dhidi ya Yemern
Feb 06, 2022 01:12Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amewataka walimwengu kujitokeza na kukabiliana na hujuma na mashambulio ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi madhulumu wa Yemen.
-
Polisi ya Nigeria yadai kukomboa mateka 94 kutoka kwa magenge ya wahalifu
Feb 03, 2022 04:34Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa watu 94 wameokolewa baada ya kuchukuliwa mateka na makundi yenye silaha katika majimbo ya Zamfara, Niger na Katsina.
-
Watu 220 wameuawa Nigeria tangu mwaka huu uanze
Jan 20, 2022 00:55Kwa akali watu 220 wameuawa katika mashambulio ya magenge ya kigaidi na makundi ya uhalifu na ujambazi katika jimbo la Niger nchini Nigeria.
-
Majambazi waua raia 50 nchini Nigeria
Jan 17, 2022 04:31Majambazi wameshambulia kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua raia 50 huku magenge ya wahalifu yakiendelea kutekeleza mauaji katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Mlipuko wa kipindupindu umeua maelfu ya watu Nigeria
Jan 14, 2022 21:18Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu uliua maelfu ya watu nchini Nigeria katika kipindi cha miezi 12 iliyopita.
-
Watu 52 wauawa katika hujuma ya majambazi Nigeria
Jan 14, 2022 04:40Majambazi waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wametekekeleza mashambulizi katika majimbo ya Plateau na Niger nchini Nigeria na kuuawa raia wasiopungua 52.
-
Wanafunzi 30 waliotekwa nyara waachiwa huru kaskazini magharibi mwa Nigeria
Jan 09, 2022 23:18Wanafunzi waliokuwa wametekwa nyara kaskazini magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru baada ya kushikiliwa na wanamgambo wenye silaha kwa muda wa miezi saba.
-
Wanavijiji 200 wameuawa katika mashambulizi ya Zamfara Nigeria
Jan 09, 2022 10:04Viongozi wa serikali katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria wametangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia katika mashambulizi ya magenge ya wabeba silaha katika eneo hilo imeongezeka na kufikia watu 200.
-
Sheikh Zakzaky: Kamanda Soleimani alikuwa mwanastratejia aliyezima njama za maadui Syria na Iraq
Jan 03, 2022 23:22Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema, njia ya Muqawama, in shaa Allah itakamilika kwa kudhihiri Imam wa Zama (Allah Aharakishe Kudhihiri Kwake).