-
Ripoti ya OCHA: Mamilioni ya Wanigeriia wanahitajia misaada ya kibinadamu
Nov 07, 2021 04:04Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya uratibu wa misaada ya kibinadamu, OCHA imetangaza kuwa, raia milioni 11 nchini Nigeria wanahitajia misaada ya kibinadamu.
-
Juhudi za uokoaji zinaendelea, watu 6 wamethibitishwa kufariki dunia baada ya ghorofa kuporomoka Nigeria
Nov 02, 2021 09:56Juhudi za kutafuta manusura wa jengo lililoporomoka katika mji wa Abuja huko Nigeria zinaendelea huko vyombo rasmi vikiithibitisha kuwa hadi sasa watu 6 wameaga dunia katika ajali hiyo.
-
Waasi washambulia gereza Nigeria, zaidi ya mahabusu 800 watoroka
Oct 24, 2021 04:21Idara ya Magereza ya Nigeria imetangaza kuwa watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wameshambulia magereza moja huko kusini magharibi mwa nchi hiyo na kuachia huru mahabusu 837.
-
Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya wanamgambo kaskazini mwa nchi
Oct 19, 2021 10:01Wanamgambo 24 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram na genge hasimu Daesh huko magharibi mwa Afrika maarufu kwa jina la ISWAP wameuawa katika operesheni mbili za wanajeshi wa Nigeria, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Kiongozi wa genge la kigaidi la Daesh aangamizwa nchini Nigeria
Oct 15, 2021 03:05Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamizwa kiongozi wa genge la kigaidi la Daeshi yaani ISIS kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Watu 20 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Nigeria
Oct 10, 2021 04:20Watu wasiopungua 20 wameuawa katika shambulio la wabeba silaha huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo
Oct 08, 2021 23:58Askari usalama wa Nigeria wamefanikiwa kuwakomboa karibu mateka 200 katika mashambulizi kadhaa yaliyofanyika dhidi ya kambi za magenge ya wahalifu katika msitu mkubwa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria
Oct 07, 2021 08:14Taarifa za karibuni kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa, watu 29 wengine wameuawa katika mashambulio ya watu wenye silaha kwenye maeneo ya kaskazini mashariki na kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria
Oct 04, 2021 00:42Kundi la kigaidi la Boko Haram limeua wapiganaji 24 wa kundi hasimu la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP, huko kaskazini mwa Nigeria.
-
Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021
Sep 30, 2021 22:55Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.