-
Watu 220 wameuawa Nigeria tangu mwaka huu uanze
Jan 20, 2022 00:55Kwa akali watu 220 wameuawa katika mashambulio ya magenge ya kigaidi na makundi ya uhalifu na ujambazi katika jimbo la Niger nchini Nigeria.
-
Majambazi waua raia 50 nchini Nigeria
Jan 17, 2022 04:31Majambazi wameshambulia kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua raia 50 huku magenge ya wahalifu yakiendelea kutekeleza mauaji katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Mlipuko wa kipindupindu umeua maelfu ya watu Nigeria
Jan 14, 2022 21:18Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu uliua maelfu ya watu nchini Nigeria katika kipindi cha miezi 12 iliyopita.
-
Watu 52 wauawa katika hujuma ya majambazi Nigeria
Jan 14, 2022 04:40Majambazi waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wametekekeleza mashambulizi katika majimbo ya Plateau na Niger nchini Nigeria na kuuawa raia wasiopungua 52.
-
Wanafunzi 30 waliotekwa nyara waachiwa huru kaskazini magharibi mwa Nigeria
Jan 09, 2022 23:18Wanafunzi waliokuwa wametekwa nyara kaskazini magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru baada ya kushikiliwa na wanamgambo wenye silaha kwa muda wa miezi saba.
-
Wanavijiji 200 wameuawa katika mashambulizi ya Zamfara Nigeria
Jan 09, 2022 10:04Viongozi wa serikali katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria wametangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia katika mashambulizi ya magenge ya wabeba silaha katika eneo hilo imeongezeka na kufikia watu 200.
-
Sheikh Zakzaky: Kamanda Soleimani alikuwa mwanastratejia aliyezima njama za maadui Syria na Iraq
Jan 03, 2022 23:22Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema, njia ya Muqawama, in shaa Allah itakamilika kwa kudhihiri Imam wa Zama (Allah Aharakishe Kudhihiri Kwake).
-
Wanamgambo 100 wa ISIS wauawa katika mashambulizi ya anga kaskazini mwa Nigeria
Dec 22, 2021 10:07Shirika la habari la Ufaransa limenukuu vyanzo vya kijeshi na vya ndani vikisema kuwa wapiganaji 100 wa kundi la kigaidi la ISIS waliuawa wiki iliyopita katika mashambulizi ya jeshi la Nigeria dhidi ya kambi za kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria
Dec 13, 2021 04:49Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria wameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa sita tangu yalipotokea mauaji ya kinyama yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya Nigeria dhidi ya Waislamu katika mji wa Zaria
-
Sheikh Zakzaky aadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Zaria
Dec 05, 2021 11:04Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky amewaongoza Waislamu wa Nigeria katika maadhimisho ya mwaka wa sita wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa harakati hiyo.