-
Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya wanamgambo kaskazini mwa nchi
Oct 19, 2021 10:01Wanamgambo 24 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram na genge hasimu Daesh huko magharibi mwa Afrika maarufu kwa jina la ISWAP wameuawa katika operesheni mbili za wanajeshi wa Nigeria, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Kiongozi wa genge la kigaidi la Daesh aangamizwa nchini Nigeria
Oct 15, 2021 03:05Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamizwa kiongozi wa genge la kigaidi la Daeshi yaani ISIS kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Watu 20 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Nigeria
Oct 10, 2021 04:20Watu wasiopungua 20 wameuawa katika shambulio la wabeba silaha huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo
Oct 08, 2021 23:58Askari usalama wa Nigeria wamefanikiwa kuwakomboa karibu mateka 200 katika mashambulizi kadhaa yaliyofanyika dhidi ya kambi za magenge ya wahalifu katika msitu mkubwa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria
Oct 07, 2021 08:14Taarifa za karibuni kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa, watu 29 wengine wameuawa katika mashambulio ya watu wenye silaha kwenye maeneo ya kaskazini mashariki na kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria
Oct 04, 2021 00:42Kundi la kigaidi la Boko Haram limeua wapiganaji 24 wa kundi hasimu la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP, huko kaskazini mwa Nigeria.
-
Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021
Sep 30, 2021 22:55Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.
-
Wanajeshi 22 wa serikali wauliwa na magaidi huko Sokoto, Nigeria
Sep 28, 2021 08:16Watu wenye silaha wameua wanajeshi 22 wa serikali ya Nigeria katika shambulio baya kuwahi kutokea katika siku za hivi karibuni.
-
Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi
Sep 26, 2021 04:33Kwa akali wanajeshi 20 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika baada ya kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Zaidi ya wafungwa 100 walitoroka jela Nigeria, watiwa mbaroni
Sep 14, 2021 22:05Afisa mmoja wa idara ya jela ya Nigeria ametangaza habari ya kukamatwa zaidi ya wagunwa 100 waliototoka jela nchini humo.