Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya wanamgambo kaskazini mwa nchi

    Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya wanamgambo kaskazini mwa nchi

    Oct 19, 2021 10:01

    Wanamgambo 24 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram na genge hasimu Daesh huko magharibi mwa Afrika maarufu kwa jina la ISWAP wameuawa katika operesheni mbili za wanajeshi wa Nigeria, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Kiongozi wa genge la kigaidi la Daesh aangamizwa nchini Nigeria

    Kiongozi wa genge la kigaidi la Daesh aangamizwa nchini Nigeria

    Oct 15, 2021 03:05

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamizwa kiongozi wa genge la kigaidi la Daeshi yaani ISIS kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu 20 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Nigeria

    Watu 20 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Nigeria

    Oct 10, 2021 04:20

    Watu wasiopungua 20 wameuawa katika shambulio la wabeba silaha huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo

    Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo

    Oct 08, 2021 23:58

    Askari usalama wa Nigeria wamefanikiwa kuwakomboa karibu mateka 200 katika mashambulizi kadhaa yaliyofanyika dhidi ya kambi za magenge ya wahalifu katika msitu mkubwa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria

    Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria

    Oct 07, 2021 08:14

    Taarifa za karibuni kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa, watu 29 wengine wameuawa katika mashambulio ya watu wenye silaha kwenye maeneo ya kaskazini mashariki na kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • 24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria

    24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria

    Oct 04, 2021 00:42

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeua wapiganaji 24 wa kundi hasimu la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP, huko kaskazini mwa Nigeria.

  • Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Sep 30, 2021 22:55

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.

  • Wanajeshi 22 wa serikali wauliwa na magaidi huko Sokoto, Nigeria

    Wanajeshi 22 wa serikali wauliwa na magaidi huko Sokoto, Nigeria

    Sep 28, 2021 08:16

    Watu wenye silaha wameua wanajeshi 22 wa serikali ya Nigeria katika shambulio baya kuwahi kutokea katika siku za hivi karibuni.

  • Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi

    Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi

    Sep 26, 2021 04:33

    Kwa akali wanajeshi 20 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika baada ya kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Zaidi ya wafungwa 100 walitoroka jela Nigeria, watiwa mbaroni

    Zaidi ya wafungwa 100 walitoroka jela Nigeria, watiwa mbaroni

    Sep 14, 2021 22:05

    Afisa mmoja wa idara ya jela ya Nigeria ametangaza habari ya kukamatwa zaidi ya wagunwa 100 waliototoka jela nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS