Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria

    Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria

    Sep 04, 2021 02:17

    Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.

  • Nigeria yafunga shule zote katika majimbo mawili kufuatia kuongezeka utekaji nyara

    Nigeria yafunga shule zote katika majimbo mawili kufuatia kuongezeka utekaji nyara

    Sep 03, 2021 07:14

    Serikali nne za majimbo kaskazini na katikati mwa Nigeria zimetangaza vizuizi na hatua kadhaa kwa wakazi wa majimbo hayo katika jitihada za kukomesha vitendo vya utekaji nyara na jinai nyingine za utumiaji nguvu zinazoyaathiri maeneo hayo.

  • Zaidi ya wanafunzi 70 na walimu kadhaa watekwa nyara tena kaskazini mwa Nigeria

    Zaidi ya wanafunzi 70 na walimu kadhaa watekwa nyara tena kaskazini mwa Nigeria

    Sep 02, 2021 00:07

    Watu wenye silaha wameshambulia shule moja ya kutwa kaskazini mwa Nigeria na kuwateka nyara wanafunzi wasiopungua 73.

  • Mripuko wa kipindupindu waua watu 63 nchini Nigeria

    Mripuko wa kipindupindu waua watu 63 nchini Nigeria

    Aug 31, 2021 09:14

    Makumi ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.

  • Makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru

    Makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru

    Aug 27, 2021 03:30

    Makumi ya wanafunzi wa Chuo cha Kiislamu waliotekwa nyara huko Nigeria katika jimbo la Niger mnano Mei 30 mwaka huu wameachiliwa huru.

  • Watu 24 wauawa na wabeba silaha katika majimbo ya Katsina na Kaduna, Nigeria

    Watu 24 wauawa na wabeba silaha katika majimbo ya Katsina na Kaduna, Nigeria

    Aug 23, 2021 22:41

    Watu wasiopungua 24 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti ya magenge ya wabeba silaha katika majimbo ya Katsina na Kaduna nchini Nigeria.

  • Polisi Nigeria washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura

    Polisi Nigeria washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura

    Aug 20, 2021 09:58

    Askari polisi nchini Nigeria jana Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua na kujeruhi kadhaa miongoni mwao.

  • Buhari: Mauaji ya wasafiri wa Kiisilamu yalikuwa yamepangwa mapema

    Buhari: Mauaji ya wasafiri wa Kiisilamu yalikuwa yamepangwa mapema

    Aug 15, 2021 06:26

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, mauaji ya watu 23 waliokuwa wakirudi kutoka kwenye sherehe ya Waislamu nchini Nigeria lilikuwa shambulio la kukusudia na kupangwa na kwamba watuhumiwa wa mauaji hayo tayari wamekamatwa.

  • Spishi mpya ya kirusi cha corona cha Nigeria, ETA yaanza kusambaa kwa kasi duniani

    Spishi mpya ya kirusi cha corona cha Nigeria, ETA yaanza kusambaa kwa kasi duniani

    Aug 12, 2021 07:47

    Wataalamu wa kutambua aina za virusi wametahadharisha kuwa, kirusi cha corona cha Nigeria kinachojulikana kwa jina la Eta kinasambaa kwa kasi kubwa duniani.

  • 'Magaidi' 78 wauawa katika mashambulio ya anga ya jeshi la Nigeria

    'Magaidi' 78 wauawa katika mashambulio ya anga ya jeshi la Nigeria

    Aug 06, 2021 23:05

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuua makumi ya wahalifu wanaobeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS