-
Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo
Oct 08, 2021 23:58Askari usalama wa Nigeria wamefanikiwa kuwakomboa karibu mateka 200 katika mashambulizi kadhaa yaliyofanyika dhidi ya kambi za magenge ya wahalifu katika msitu mkubwa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria
Oct 07, 2021 08:14Taarifa za karibuni kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa, watu 29 wengine wameuawa katika mashambulio ya watu wenye silaha kwenye maeneo ya kaskazini mashariki na kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria
Oct 04, 2021 00:42Kundi la kigaidi la Boko Haram limeua wapiganaji 24 wa kundi hasimu la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP, huko kaskazini mwa Nigeria.
-
Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021
Sep 30, 2021 22:55Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.
-
Wanajeshi 22 wa serikali wauliwa na magaidi huko Sokoto, Nigeria
Sep 28, 2021 08:16Watu wenye silaha wameua wanajeshi 22 wa serikali ya Nigeria katika shambulio baya kuwahi kutokea katika siku za hivi karibuni.
-
Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi
Sep 26, 2021 04:33Kwa akali wanajeshi 20 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika baada ya kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Zaidi ya wafungwa 100 walitoroka jela Nigeria, watiwa mbaroni
Sep 14, 2021 22:05Afisa mmoja wa idara ya jela ya Nigeria ametangaza habari ya kukamatwa zaidi ya wagunwa 100 waliototoka jela nchini humo.
-
Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria
Sep 04, 2021 02:17Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.
-
Nigeria yafunga shule zote katika majimbo mawili kufuatia kuongezeka utekaji nyara
Sep 03, 2021 07:14Serikali nne za majimbo kaskazini na katikati mwa Nigeria zimetangaza vizuizi na hatua kadhaa kwa wakazi wa majimbo hayo katika jitihada za kukomesha vitendo vya utekaji nyara na jinai nyingine za utumiaji nguvu zinazoyaathiri maeneo hayo.
-
Zaidi ya wanafunzi 70 na walimu kadhaa watekwa nyara tena kaskazini mwa Nigeria
Sep 02, 2021 00:07Watu wenye silaha wameshambulia shule moja ya kutwa kaskazini mwa Nigeria na kuwateka nyara wanafunzi wasiopungua 73.