Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo

    Nigeria yakomboa karibu mateka 200 kaskazini magharibi mwa nchi hiyo

    Oct 08, 2021 23:58

    Askari usalama wa Nigeria wamefanikiwa kuwakomboa karibu mateka 200 katika mashambulizi kadhaa yaliyofanyika dhidi ya kambi za magenge ya wahalifu katika msitu mkubwa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria

    Wanavijiji 29 wengine wauliwa na watu wenye silaha nchini Nigeria

    Oct 07, 2021 08:14

    Taarifa za karibuni kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa, watu 29 wengine wameuawa katika mashambulio ya watu wenye silaha kwenye maeneo ya kaskazini mashariki na kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • 24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria

    24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria

    Oct 04, 2021 00:42

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeua wapiganaji 24 wa kundi hasimu la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP, huko kaskazini mwa Nigeria.

  • Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Sep 30, 2021 22:55

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.

  • Wanajeshi 22 wa serikali wauliwa na magaidi huko Sokoto, Nigeria

    Wanajeshi 22 wa serikali wauliwa na magaidi huko Sokoto, Nigeria

    Sep 28, 2021 08:16

    Watu wenye silaha wameua wanajeshi 22 wa serikali ya Nigeria katika shambulio baya kuwahi kutokea katika siku za hivi karibuni.

  • Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi

    Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi

    Sep 26, 2021 04:33

    Kwa akali wanajeshi 20 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika baada ya kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Zaidi ya wafungwa 100 walitoroka jela Nigeria, watiwa mbaroni

    Zaidi ya wafungwa 100 walitoroka jela Nigeria, watiwa mbaroni

    Sep 14, 2021 22:05

    Afisa mmoja wa idara ya jela ya Nigeria ametangaza habari ya kukamatwa zaidi ya wagunwa 100 waliototoka jela nchini humo.

  • Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria

    Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria

    Sep 04, 2021 02:17

    Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.

  • Nigeria yafunga shule zote katika majimbo mawili kufuatia kuongezeka utekaji nyara

    Nigeria yafunga shule zote katika majimbo mawili kufuatia kuongezeka utekaji nyara

    Sep 03, 2021 07:14

    Serikali nne za majimbo kaskazini na katikati mwa Nigeria zimetangaza vizuizi na hatua kadhaa kwa wakazi wa majimbo hayo katika jitihada za kukomesha vitendo vya utekaji nyara na jinai nyingine za utumiaji nguvu zinazoyaathiri maeneo hayo.

  • Zaidi ya wanafunzi 70 na walimu kadhaa watekwa nyara tena kaskazini mwa Nigeria

    Zaidi ya wanafunzi 70 na walimu kadhaa watekwa nyara tena kaskazini mwa Nigeria

    Sep 02, 2021 00:07

    Watu wenye silaha wameshambulia shule moja ya kutwa kaskazini mwa Nigeria na kuwateka nyara wanafunzi wasiopungua 73.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS