-
Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria
Sep 04, 2021 02:17Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.
-
Nigeria yafunga shule zote katika majimbo mawili kufuatia kuongezeka utekaji nyara
Sep 03, 2021 07:14Serikali nne za majimbo kaskazini na katikati mwa Nigeria zimetangaza vizuizi na hatua kadhaa kwa wakazi wa majimbo hayo katika jitihada za kukomesha vitendo vya utekaji nyara na jinai nyingine za utumiaji nguvu zinazoyaathiri maeneo hayo.
-
Zaidi ya wanafunzi 70 na walimu kadhaa watekwa nyara tena kaskazini mwa Nigeria
Sep 02, 2021 00:07Watu wenye silaha wameshambulia shule moja ya kutwa kaskazini mwa Nigeria na kuwateka nyara wanafunzi wasiopungua 73.
-
Mripuko wa kipindupindu waua watu 63 nchini Nigeria
Aug 31, 2021 09:14Makumi ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.
-
Makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru
Aug 27, 2021 03:30Makumi ya wanafunzi wa Chuo cha Kiislamu waliotekwa nyara huko Nigeria katika jimbo la Niger mnano Mei 30 mwaka huu wameachiliwa huru.
-
Watu 24 wauawa na wabeba silaha katika majimbo ya Katsina na Kaduna, Nigeria
Aug 23, 2021 22:41Watu wasiopungua 24 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti ya magenge ya wabeba silaha katika majimbo ya Katsina na Kaduna nchini Nigeria.
-
Polisi Nigeria washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura
Aug 20, 2021 09:58Askari polisi nchini Nigeria jana Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua na kujeruhi kadhaa miongoni mwao.
-
Buhari: Mauaji ya wasafiri wa Kiisilamu yalikuwa yamepangwa mapema
Aug 15, 2021 06:26Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, mauaji ya watu 23 waliokuwa wakirudi kutoka kwenye sherehe ya Waislamu nchini Nigeria lilikuwa shambulio la kukusudia na kupangwa na kwamba watuhumiwa wa mauaji hayo tayari wamekamatwa.
-
Spishi mpya ya kirusi cha corona cha Nigeria, ETA yaanza kusambaa kwa kasi duniani
Aug 12, 2021 07:47Wataalamu wa kutambua aina za virusi wametahadharisha kuwa, kirusi cha corona cha Nigeria kinachojulikana kwa jina la Eta kinasambaa kwa kasi kubwa duniani.
-
'Magaidi' 78 wauawa katika mashambulio ya anga ya jeshi la Nigeria
Aug 06, 2021 23:05Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuua makumi ya wahalifu wanaobeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi.