-
UN: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria, Ziwa Chad
Feb 22, 2017 23:33Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, zaidi ya watu milioni saba wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa katika eneo lililokumbwa na machafuko la kaskazini mwa Nigeria na kandokando ya Ziwa Chad.
-
Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika
Feb 22, 2017 00:36Hali ya maisha katika akthari ya nchi za Kiafrika, imesababisha kuongezeka idadi ya wakimbizi katika bara la Afrika. Hii ni katika hali ambayo, Mpango wa Chakula Duniani (WPF) umetahadharisha kuhusu matatizo ya chakula kwa wakimbizi wa bara hilo.
-
Wakulima Wazungu wanakabiliwa na njaa nchini Zimbabwe
Feb 14, 2017 22:05Kwa akali wakulima 1000 Wazungu wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa nchini Zimbabwe kutokana na kile kinachotajwa kuwa sera ya kibaguzi ya ardhi.
-
Njaa yawanyemelea maelfu Nigeria kutokana na ugaidi wa Boko Haram
Feb 09, 2017 00:36Maelfu ya watu wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa nchini Nigeria kutokana na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia
Jan 29, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.
-
WFP: Raia milioni 1.8 wanakabiliwa na hatari ya njaa kaskazini mashariki mwa Nigeria
Jan 29, 2017 00:22Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, hali ya kimaisha ya wakazi wa kaskazini mashariki mwa Nigeria inatia wasiwasi mno.
-
Msalaba Mwekundu: Wakenya milioni 2.4 katika hatari ya kufa njaa
Jan 07, 2017 04:08Shirika la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa, mamilioni ya Wakenya wapo katika hatari ya kukumbana na baa la njaa katika miezi michache ijayo.
-
FAO: Watu milioni 12 Afrika Mashariki wanahitajia msaada wa chakula
Dec 21, 2016 23:35Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limetahadharisha kuwa, watu milioni 12 katika kanda ya Afrika Mashariki wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.
-
Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika
Dec 16, 2016 11:14Maelfu ya watoto wa maeneo tofauti ya Afrika wamefunikwa na kivuli cha mauti kutokana na ukosefu wa amani na machafuko yanayotokana na mashambulizi ya kigaidi na baa la njaa barani humo.
-
Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria
Dec 14, 2016 10:47Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria wako katika hatari ya kuaga dunia kutokana na vita, njaa na lishe duni.