Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika

    Kivuli cha mauti chawafunika maelfu ya watoto Afrika

    Dec 16, 2016 11:14

    Maelfu ya watoto wa maeneo tofauti ya Afrika wamefunikwa na kivuli cha mauti kutokana na ukosefu wa amani na machafuko yanayotokana na mashambulizi ya kigaidi na baa la njaa barani humo.

  • Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Dec 14, 2016 10:47

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria wako katika hatari ya kuaga dunia kutokana na vita, njaa na lishe duni.

  • UN: Watu milioni 14 watahitajia msaada wa dharura Nigeria 2017

    UN: Watu milioni 14 watahitajia msaada wa dharura Nigeria 2017

    Nov 16, 2016 10:46

    Umoja wa Mataifa umesema watu milioni 14 watahitajia msaada wa dharura mwaka ujao wa 2017 kaskazini mwa Nigeria na kwamba makumi ya maelfu ya watoto wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa katika eneo hilo ambalo lilikuwa ngome ya kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

  • Wanafunzi elfu 80 kuacha shule kutokana na njaa Zimbabwe

    Wanafunzi elfu 80 kuacha shule kutokana na njaa Zimbabwe

    Oct 19, 2016 11:58

    Wanafunzi zaidi ya 80,000 nchini Zimbabwe wapo katika hatari ya kukatiza masomo yao kutokana na baa la njaa ambalo limefikia "kiwango cha kutisha."

  • UN: Watoto 75 elfu wapo katika hatari ya kufa njaa Nigeria

    UN: Watoto 75 elfu wapo katika hatari ya kufa njaa Nigeria

    Sep 29, 2016 10:24

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, maelfu ya watoto wadogo wapo katika hatari ya kupoteza maisha katika kipindi cha mwaka mmoja ujao, kutokana na njaa na utapiamlo 'uliosababishwa' na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

  • UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika

    UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika

    Jul 28, 2016 23:46

    Umoja wa Mataifa umesema wakulima milioni 23 katika nchi za kusini mwa Afrika wanahitajia msaada wa dharura kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa upaliliaji.

  • UNICEF: Watoto elfu 49 wanakabiliwa na utapiamlo Nigeria

    UNICEF: Watoto elfu 49 wanakabiliwa na utapiamlo Nigeria

    Jul 20, 2016 02:56

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa, watoto 49,000 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa na utapiamlo nchini Nigeria.

  • Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Jun 02, 2016 23:23

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa watu laki tano na elfu 80 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa nchini Angola.

  • Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi

    Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi

    May 25, 2016 23:56

    Serikali ya Malawi imesema kuwa, zaidi ya watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula nchni humo.

  • Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika

    Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika

    May 17, 2016 23:03

    Mashirika ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu yamesema yanahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuzisaidia nchi za kusini mwa Afrika, zinazokabiliwa na hali mbaya ya ukosefu wa chakula na lishe duni iliyosababishwa na ukame.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS