-
UN yahitaji $M 105 kuokoa maisha kwenye ukame Somalia
Apr 01, 2016 03:24Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu nchini Somalia yamezindua ombi la msaada wa dola milioni 105 kwa minajili ya kunusuru maisha na kujenga uthabiti wa zaidi ya watu milioni moja katika maeneo yaliyoathiriwa na ukame kaskazini mwa Somalia
-
UN: Wakimbizi wa Mali walioko Burkina Faso wanakabiliwa na baa la njaa
Mar 31, 2016 03:45Maelfu ya wakimbizi wa Mali waliokimbilia katika nchi jirani ya Burkina Faso wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula na kwa sasa wako katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.
-
Ripoti: Waganda milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa
Mar 28, 2016 09:07Ripoti mpya imeonyesha kuwa mamilioni ya wananchi wa Uganda wanakabiliwa na baa la njaa. Asilimia 11.8 ya Waganda, ambayo ni zaidi ya watu milioni 4 wanakabiliwa na baa la njaa kutokana na umaskini na ugumu wa maisha.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu nchini Swaziland
Feb 28, 2016 13:01Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa maelfu ya watu nchini Swaziland wako katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa kutokana na nchi hiyo kuathiriwa na uhaba mkubwa wa chakula uliosababishwa na ukame mkubwa uliotokana na el Nino.