Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Mufti wa Oman awataka Waislamu kujitokeza kwa wingi kuwasaidia ndugu zao wa Ghaza

    Mufti wa Oman awataka Waislamu kujitokeza kwa wingi kuwasaidia ndugu zao wa Ghaza

    Jun 10, 2024 11:08

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili amewataka Waislamu kote ulimwenguni kutumia sehemu ya fedha zao kuwapelekea msaada wa chakula na silaha Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza

  • Kaimu Rais wa Iran asisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman

    Kaimu Rais wa Iran asisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman

    May 28, 2024 04:24

    Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano wa Iran na Oman kuwa wa kihistoria na wa kidugu na kusema: Iwapo uwezo uliopo utatumika vizuri, maingiliano ya kiuchumi na kibiashara kati ya Iran na Oman yataongezeka hadi mara kadhaa ya kiwango cha sasa.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo

    Apr 21, 2024 08:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Oman wamesisitiza juu ya haja ya kutekelezwa juhudi za kimataifa ili kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni, kufikiwa mapatano ya usitishaji vita na kutumwa haraka misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza.

  • Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu

    Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu

    Apr 16, 2024 10:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaamini kwamba usalama na utulivu wa nchi za eneo hili zima ni muhimu sana kwake, bali ni sawa kabisa na usalama wake yenyewe na haitoruhusu utawala wa Kizayuni kuhatarisha usalama wa eneo hili kwa chokochoko zake.

  • Iran na Oman zasisitizia udharura wa kukomeshwa mara moja jinai za Israel Ghaza

    Iran na Oman zasisitizia udharura wa kukomeshwa mara moja jinai za Israel Ghaza

    Mar 25, 2024 06:13

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wamefanya mazungumzo ya simu na kutilia mkazo wajibu wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi madhlumu na wasio na ulinzi wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza.

  • Iran, China na Russia zafanya mazoezi ya tano ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman

    Iran, China na Russia zafanya mazoezi ya tano ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman

    Mar 12, 2024 12:30

    Majeshi ya wanamaji ya Iran, China na Russia leo yameanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman, yakiwa ni mazoezi ya tano ya pamoja kufanywa na majeshi hayo katika miaka ya hivi karibuni.

  • Safari za ndege baina ya Iran na Oman zaongezeka maradufu, biashara yazidi kustawi

    Safari za ndege baina ya Iran na Oman zaongezeka maradufu, biashara yazidi kustawi

    Feb 29, 2024 03:03

    Wakuu wa mashirika ya ndege ya Iran na Oman wamesema kuwa, safari za ndege baina ya nchi hizi mbili ndugu za Kisilamu zimeongezeka maradufu hivi sasa kutoka safari 30 hadi 60 kwa wiki.

  • Mufti wa Oman: Kujitahidi kwa Ukombozi wa Al-Aqsa ni wajibu kwa Waislamu wote

    Mufti wa Oman: Kujitahidi kwa Ukombozi wa Al-Aqsa ni wajibu kwa Waislamu wote

    Jan 22, 2024 07:31

    Mufti Mkuu wa Oman kwa mara nyingine amesisitiza umuhimu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel na akasema kuukomboa ni jukumu la Waislamu wote duniani.

  • Jumatano, tarehe 20 Disemba, 2023

    Jumatano, tarehe 20 Disemba, 2023

    Dec 20, 2023 02:38

    Leo ni tarehe 6Jumadithani 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 20 Disemba mwaka 2023.

  • Mufti wa Oman alaani wanaotaka kudhoofisha muqawama wa Wapalestina

    Mufti wa Oman alaani wanaotaka kudhoofisha muqawama wa Wapalestina

    Dec 10, 2023 03:07

    Mufti Mkuu wa Oman amewakosoa wale wanaojaribu kudhoofisha harakati za mapambano ya Kiislamu (muqawama) za Wapalestina dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS