-
Mufti wa Oman: Kujitahidi kwa Ukombozi wa Al-Aqsa ni wajibu kwa Waislamu wote
Jan 22, 2024 04:01Mufti Mkuu wa Oman kwa mara nyingine amesisitiza umuhimu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel na akasema kuukomboa ni jukumu la Waislamu wote duniani.
-
Jumatano, tarehe 20 Disemba, 2023
Dec 19, 2023 23:08Leo ni tarehe 6Jumadithani 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 20 Disemba mwaka 2023.
-
Mufti wa Oman alaani wanaotaka kudhoofisha muqawama wa Wapalestina
Dec 09, 2023 23:37Mufti Mkuu wa Oman amewakosoa wale wanaojaribu kudhoofisha harakati za mapambano ya Kiislamu (muqawama) za Wapalestina dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel.
-
Oman yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai zake huko Gaza
Oct 31, 2023 23:32Oman imeitaka jamii ya kimataifa iibebeshe dhima Israel kwa jinai zake za kutisha katika Ukanda wa Gaza, na pia dunia ichukue hatua za dharura za kukomesha mauaji ya halaiki ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Alkhamisi tarehe 28 Septemba, 2023
Sep 27, 2023 23:33Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Septemba 28, 2023.
-
Baqeri: Ghuba ya Uajemi inahitaji usalama wa nchi za eneo tu
Sep 21, 2023 23:14Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa uwepo wa kijeshi wa maajinabi katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, nchi za eneo hili zina uwezo wa kujidhaminia usalama wao.
-
Viongozi wa Iran na Oman watilia mkazo kupanuliwa mashirikiano baina ya nchi mbili
Aug 01, 2023 10:06Viongozi wa Iran na Oman wamesisitiza na kutilia mkazo nia ziliyonayo Tehran na Muscat ya kuinua kwa kiwango na upeo wa juu zaidi uhusiano wa nchi mbili na kupanua zaidi maelewano baina ya pande mbili.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri
May 29, 2023 08:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Iran inakaribisha azma ya kufufuliwa uhusiano wake na Misri.
-
Sultani Haitham wa Oman awasili nchini na kulakiwa rasmi na Rais Raisi
May 28, 2023 10:57Hafla rasmi ya kumkaribisha Sultani Haitham Bin Tariq Al Saeed wa Oman, ambaye ametembelea Iran kwa mara ya kwanza akiwa Mfalme wa Oman, imefanyika katika jumba la kiutamaduni na kihistoria la Saad Abad hapa mjini Tehran.
-
Mufti wa Oman aunga mkono majibu ya kishujaa ya wanamapambano wa Palestina
May 12, 2023 02:14Mufti Mkuu wa Oman amesema kuwa, majibu ya kishujaa ya wanamapambano wa Palestina ya kupiga kwa makombora maeneo ya Wazayuni ni majibu ya jinai za Israel dhidi ya taifa linalodhulumiwa la Palestina na amewataka Waislamu kuwa pamoja na taifa hilo linalodhulumiwa kwani mapanmbano yao yanauwakilishi umma mzima wa Kiislamu.