Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Mufti wa Oman: Mapatano ya Iran na Saudia yameutia hofu na kiwewe utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mufti wa Oman: Mapatano ya Iran na Saudia yameutia hofu na kiwewe utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 18, 2023 04:07

    Mufti wa Oman Sheikh Ahmad bin Hamad Al-Khalili amesisitiza haja ya kudumishwa amani na utangamano katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kubainisha kwamba, makubaliano na mapatano yaliyofikiwa kati ya Iran na Saudi Arabia yameutia hofu na kiwewe utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Oman yaruhusu ndege za Israel zitumie anga yake

    Oman yaruhusu ndege za Israel zitumie anga yake

    Feb 24, 2023 03:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel amedai kuwa, Oman imeidhinisha ndege za utawala huo haramu kuruka katika anga ya nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Gazeti la Oman: Wakati umewadia wa nchi za Kiarabu kurejea Syria

    Gazeti la Oman: Wakati umewadia wa nchi za Kiarabu kurejea Syria

    Feb 21, 2023 10:55

    Kufuatia safari ya Rais Bashar al Assad wa Syria nchini Oman na mazungumzo aliyofanya mjini Muscat na Sultan Haitham bin Tariq wa nchi hiyo gazeti moja la nchi hiyo limeandika kuwa wakati umewadia kwa nchi za Kiarabu kurudi Syria na kuanzisha tena uhusiano wa kawaida na nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Sultan wa Oman ahimiza ushirikiano zaidi, biashara baina ya Iran na Oman yaongezeka mno

    Sultan wa Oman ahimiza ushirikiano zaidi, biashara baina ya Iran na Oman yaongezeka mno

    Feb 13, 2023 07:31

    Sultan Haitham bin Tariq al Said wa Oman amemwandikia barua Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuhimiza ushirikiano zaidi baina ya Tehran na Muscat.

  • Hamas yaipongeza Oman kwa msimamo wake wa kususiwa utawala wa Kizayuni

    Hamas yaipongeza Oman kwa msimamo wake wa kususiwa utawala wa Kizayuni

    Dec 31, 2022 07:32

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesifu na kupongeza msimamo wa Bunge la Oman katika fremu ya kushadidisha kususiwa utawala haramu wa Israel.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono ubunifu wa Oman

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono ubunifu wa Oman

    Dec 29, 2022 08:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa Iran imeacha wazi dirisha ili kufikia mapatano lakini dirisha hilo halitasalia wazi siku zote. Amesema Iran inakaribisha na kuunga mkono ubinifu wa Mfalme wa Oman ili kufanyika ufatiliaji kwa lengo la kufikia mapatano mazuri, imara na endelevu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Oman

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Oman

    Dec 28, 2022 13:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana katika nyakati tofauti na Waziri wa Mambo ya Nje na Waziri wa Ofisi ya Mfalme wa Oman, wakajadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu masuala yenye maslahi kwa pande mbili.

  • Bunge la Oman: Kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ni uhalifu

    Bunge la Oman: Kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ni uhalifu

    Dec 28, 2022 08:38

    Baraza la Ushauri la Oman limeikabidhi Kamati wa Kutunga Sheria na Kulinda Haki ya nchi hiyo; muswada wa marekebisho ya kifungu cha 10 cha sheria ya kuharamisha na kupiga marufuku kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili upasishwe rasmi.

  • Makampuni ya Oman na Kuwait yajiondoa kwenye maonyesho ya Bahrain kuisusia Israel

    Makampuni ya Oman na Kuwait yajiondoa kwenye maonyesho ya Bahrain kuisusia Israel

    Nov 04, 2022 06:44

    Shirika la ndege la bei nafuu la Oman na Benki ya Kiislamu ya Kuwait zimeamua kujiondoa katika maonyesho yajayo ya Kimataifa ya Anga ya Bahrain (BIAS) baada ya kubaini wajumbe kutoka makampuni ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel watashiriki katika maonyesho hayo, ikiwa ni hatua ya kuonyesha mshikamano na uungaji mkono kwa Palestina.

  • Safari 10 za ndege za Israel kuelekea India zafutwa baada ya Oman kukataa kutumiwa anga yake

    Safari 10 za ndege za Israel kuelekea India zafutwa baada ya Oman kukataa kutumiwa anga yake

    Oct 22, 2022 12:25

    Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeripoti kuwa, safari zisizopungua 10 za ndege za utawala huo haramu kuelekea India zimefutwa baada ya Oman kukataa kuzipatia ndege hizo kibali cha kupita katika anga yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS