Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Mapigano makali yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili

    Mapigano makali yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili

    Oct 12, 2025 05:24

    Mapigano makali ya mpakani yamezuka kati ya majeshi ya Afghanistan na Pakistan huku vikosi vya nchi hizo mbili vikishambuliana kwa kutumia silaha nzito.

  • Jeshi la Pakistan launga mkono bila ya masharti kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Jeshi la Pakistan launga mkono bila ya masharti kuasisiwa nchi huru ya Palestina

    Oct 09, 2025 03:12

    Makamanda wa jeshi la Pakistan wamebainisha matarajio yao kuhusu kusitishwa vita haraka iwezekanavyo huko Gaza na kutumwa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo na kusisisitiza kuwaa Pakistan inaendelea kuunga mkono bila masharti suala la kuasisiwa nchi huru ya Palestina.

  • Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Oct 03, 2025 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Ishaq Dar amesema mpango wa amani wa vipengele 20 uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya Ghaza sio ule ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu, ikiwemo Pakistan.

  • Islamabad: Mkataba wa kiulinzi kati ya Pakistan na Saudia unafanana wa Muungano wa kijeshi wa NATO

    Islamabad: Mkataba wa kiulinzi kati ya Pakistan na Saudia unafanana wa Muungano wa kijeshi wa NATO

    Sep 21, 2025 09:09

    Pakistan imesema, makubaliano ya hivi karibuni ya kiulinzi ambayo hayajawahi kushuhudiwa iliyosaini na Saudi Arabia yanalingana na yale yaliyopo katika Muungano wa kijeshi wa Magharibi wa nchi wanachama wa NATO.

  • Mafuriko yaliyoikumba Punjab ya Pakistan yaua watu wapatao 101, yaathiri watu milioni 4.6

    Mafuriko yaliyoikumba Punjab ya Pakistan yaua watu wapatao 101, yaathiri watu milioni 4.6

    Sep 14, 2025 11:01

    Watu wasiopungua 101 wameaga dunia katika mafuriko yaliyolikumba jimbo la Punjab la Pakistan. Hayo ni kwa mujibu wa afisa mmoja wa Mamlaka ya Kudhibiti Maafa ya Mkoa (PDMA).

  • Askari 12 wa Pakistan wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi mwa nchi

    Askari 12 wa Pakistan wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi mwa nchi

    Sep 13, 2025 10:53

    Askari wasiopungua 12 wa Pakistan wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi na magaidi kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kutumia misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Pakistan

    Pezeshkian: Iran iko tayari kutumia misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Pakistan

    Aug 30, 2025 12:26

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali ya wananchi wa Pakistan kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu wengi na kuharibiwa mali. Amesema Iran iko tayari kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko nchini Pakistan.

  • Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa

    Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa

    Aug 23, 2025 09:37

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amemfukuza kazi jenerali ambaye tathmini yake ya awali ya kiintelijensia aliyotoa ilimkasirisha Rais wa nchi hiyo Donald Trump kwa kuripoti kwamba shambulio la kijeshi ililofanya Washington mwezi Juni dhidi ya vituo vya nyuklia vya lilisababisha uharibifu mdogo tu kwa vituo hivyo.

  • Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227

    Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227

    Aug 16, 2025 05:08

    Helikopta iliyokuwa imebeba vifaa vya misaada imeanguka na kusababisha vifo vya wahudumu watano wakiwemo marubani wawili mkoani Khyber Pakhtunkhwa kaskazini magharibi mwa Pakistani huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mvua kali na mafuriko nchini kote ikifikia 227.

  • Ishaq Dar: Pakistan hivi karibuni itakuwa mwenyeji wa Rais Pezeshkian

    Ishaq Dar: Pakistan hivi karibuni itakuwa mwenyeji wa Rais Pezeshkian

    Jul 28, 2025 02:41

    Ishaq Dar Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni atafanya ziara rasmi mjini Islamabad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS