-
Hali ya dharura yatangazwa Pakistan baada ya mafuriko kuua zaidi ya 900
Aug 27, 2022 06:44Serikali ya Pakistan imetangaza hali ya dharura baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali za msimu kusababisha vifo vya mamia ya watu.
-
Imran Khan kufikishwa mbele ya mahakama ya kupambana na ugaidi ya Pakistan
Aug 23, 2022 03:16Joto la siasa za Pakistan linazidi kutokota na kuongeza hali ya taharuki baada ya aliyekuwa waziri mkuuu wa nchi hiyo Imran Khan kushtakiwa na Polisi chini ya sheria ya kupambana na ugaidi kufuatia matamshi ya tuhuma aliyotoa katika mkutano wa hadhara dhidi ya jaji na polisi ya nchi hiyo.
-
Putin: Ushirikiano wetu na Pakistan utaimarisha usalama wa kikanda
Aug 14, 2022 06:54Rais Vladimir Putin wa Russia amewatumia ujumbe viongozi wa Pakistan na kuwahakikishia kuwa ushirikiano baina ya nchi zao utaimarisha usalama katika ukanda huu mzima.
-
HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel
Aug 13, 2022 03:48Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepongeza msimamo thabiti ulioonyeshwa na waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi
Jul 26, 2022 06:48Wizara ya mambo ya nje ya Pakistan imesema kauli aliyotoa waziri wa ulinzi wa India, kwamba eneo la Kashmir ni milki ya nchi hiyo ni ya kichochezi.
-
Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan
Jul 26, 2022 02:44Watu wasiopungua 310 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zinazoendelea kunyesha nchini humo.
-
Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan
Jul 20, 2022 23:59Balozi wa Pakistan mjini Kabul amesema, India inayaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan ili kuvuruga amani na usalama ndani ya Pakistan.
-
Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan
Jul 12, 2022 02:56Watu wasiopungua 150 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.
-
Onyo la Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran kwa Israel
Jun 27, 2022 06:55Kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kichokozi katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kuwa, sera ya Israel ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na chokochoko zozote za utawala huo katika eneo zitakabiliwa na jibu mwafaka.
-
Rais Raisi atilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Pakistan
Jun 15, 2022 03:01Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi yake haina mipaka katika kustawisha uhusiano wake na Pakistan na kusisitiza kuwa, Iran ina uwezo wa kutosha wa kudhamini mahitaji muhimu ya Pakistan katika nyuga tofauti zikiwemo za mafuta, gesi na umeme.