Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Yemen yalaani shambulio la kigaidi lililoua Waislamu waliokuwa wakisali Sala ya Ijumaa, Pakistan

    Yemen yalaani shambulio la kigaidi lililoua Waislamu waliokuwa wakisali Sala ya Ijumaa, Pakistan

    Mar 06, 2022 04:21

    Wizara ya Mambo ya Nje serikali ya uwokovu wa kitaifa ya Yemen imelaani shambulio la kigaidi lililolenga Waislamu waliokuwa wakisali ndani ya msikiti mmoja wa mji wa Peshawar, kaskazini-magharibi mwa Pakistan.

  • 110 wauawa, kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Msikitini Pakistan

    110 wauawa, kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Msikitini Pakistan

    Mar 04, 2022 12:21

    Waislamu wasiopungua 45 wameuawa shahidi leo wakati wa Swala ya Ijumaa katika shambulizi la kigaidi lililofanyika ndani ya msikiti mmoja ulioko katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.

  • Safari ya Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran nchini Pakistan na diplomasia ya Tehran ya ulinzi amilifu

    Safari ya Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran nchini Pakistan na diplomasia ya Tehran ya ulinzi amilifu

    Feb 28, 2022 11:09

    Jumapili ya jana tarehe 27 Februari, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi, Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad kwa minajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa kijeshi na kisiasa wa nchi hiyo.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran nchini Pakistan; majirani wawili wenye maslahi na daghadagha ya pamoja

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran nchini Pakistan; majirani wawili wenye maslahi na daghadagha ya pamoja

    Feb 15, 2022 12:28

    Jumatatu ya jana tarehe 14 Februari, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alifanya safari ya nchini Pakistan.

  • Kufanyika mkutano wa umoja wa Kiislamu nchini Pakistan

    Kufanyika mkutano wa umoja wa Kiislamu nchini Pakistan

    Jan 01, 2022 02:55

    Mkutano wa umoja wa Kiislamu umefanyika katika mji wa Lahore, Pakistan kwa kuhudhuriwa na Hujjatul Islam Wal muslimin Hamid Shahriyari, Katibu Mkuu wa Baraza la Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu na Sirajul-Haq, Kiongozi wa chama cha Jaamatul-Islami cha Pakistan.

  • Radiamali ya Taliban kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan

    Radiamali ya Taliban kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan

    Dec 22, 2021 02:36

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Taliban ametoa radiamali kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan akisema kuwa: Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia ardhi ya Afghanistan dhidi ya mataifa mengine.

  • Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Dec 20, 2021 09:12

    Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Dec 18, 2021 07:41

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameionya India kuwa, endapo itajaribu kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Pakistan, nchi hiyo itajibu mapigo kama ilivyofanya mwaka 2019.

  • Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Oct 28, 2021 02:15

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan na irejeshe mali hizo zinazoshikiliwa na mabenki ya Marekani.

  • Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan

    Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan

    Oct 25, 2021 02:31

    Serikali ya Pakistan imekanusha ripoti za vyombo vya habari zinazoeleza kufikiwa makubaliano kati yake na Marekani kwa ajili ya kufanya operesheni za kijeshi na kijasusi nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS