-
Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW
Jun 07, 2022 06:18Matamshi ya utovu wa adabu ya viongozi wawili wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata (BJP) dhidi ya Bwana Mtume (SAW) yamekabiliwa na wimbi la malalamiko ya mataifa ya Kiislamu na Waislamu kwa ujumla ulimwenguni.
-
Jumamosi, 28 Mei 2022
May 27, 2022 22:55Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 28 Mei 2022 Miladia.
-
Imran Khan aipa serikali ya Pakistan siku sita kuvunja mabunge na kutangaza uchaguzi mpya
May 26, 2022 22:02Aliyekuwa waziri mkuu wa Pakistan Imran Khan, ametoa onyo kwa serikali kwamba ama itangaze uchaguzi mpya katika muda wa siku sita zijazo au ataongoza tena maandamano ya mamilioni ya watu katika mji mkuu Islamabad.
-
Imran Khan asema ametishiwa tena kuuawa, arekodi mkanda wa video wa majina ya wahusika
May 15, 2022 03:30Waziri Mkuu wa Pakistan aliyeuzuliwa Imran Khan amesema, njama za kutishia maisha yake zinaendelea kufanywa ndani na nje ya nchi hiyo na kwamba amesharekodi mkanda wa video wenye majina ya watu wote wanaokula njama dhidi yake.
-
Shehbaz Sharif achaguliwa kuwa Waziri Mkuu Pakistan baada ya Khan kutimuliwa
Apr 11, 2022 21:59Bunge la Pakistani limemchagua Shehbaz Sharif kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo baada ya mtangulizi wake, Imran Khan, kuondolewa na wabunge wengi wa chama chake kujiuzulu kutoka katika Bunge la Kitaifa.
-
Kwa mara ya kwanza katika historia: Bunge la Pakistan latoa nara ya "Mauti kwa Marekani"
Apr 04, 2022 03:07Kwa mara ya kwanza katika historia ya Bunge la Pakistan, wabunge wa nchi hiyo wametoa nara ya "Kifo kwa Marekani" huku bunge hilo likipinga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, iliyotaka kumuondoa madarakani Imran Khan, ambaye ameyatuhumu madola ya kigeni kuwa yanaingilia demokrasia ya nchi hiyo.
-
Bunge la Pakistan lazuia kuuzuliwa Imran Khan, lakosoa uingiliaji wa maajinabi
Apr 03, 2022 22:05Bunge la Pakistan limetupilia mbali mpango wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Imran Khan, likieleza kuwa limechukua hatua hiyo kutokana na uingiliaji wa madola ya kigeni kwenye mambo ya ndani ya nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan asema, Marekani inapanga njama ya kumuondoa madarakani
Apr 03, 2022 02:53Waziri Mkuu wa Pakistani, Imran Khan amedokeza kuwa huenda akakataa matokeo ya kura ya kumuondoa madarakani akieleza kuwa kura hiyo ni njama iliyoratibiwa na Marekani ambayo ameituhumu kwa kujaribu kupindua utawala wake.
-
Bunge la Pakistan kujadili muswada wa kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Imran Khan
Mar 29, 2022 22:29Wabunge wa upinzani nchini Pakistan wamewasilisha pendekezo la kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Imran Khan bungeni, wakitumai kuiondoa madarakani serikali yakke huku kukiwa na shutuma kwamba amesimamia vibaya uchumi wa taifa hilo.
-
Indhari ya Imran Khan kuhusu njama za madola ya kigeni za kuiondoa madarakani serikali ya Pakistan
Mar 29, 2022 21:49Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuhusu uingliaji wa nchi ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali yake na kusisitiza kuwa hatasalimu amri mbele ya wapinzani wa ndani na njama za nchi kigeni.