Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Jul 26, 2022 02:44

    Watu wasiopungua 310 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zinazoendelea kunyesha nchini humo.

  • Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan

    Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan

    Jul 20, 2022 23:59

    Balozi wa Pakistan mjini Kabul amesema, India inayaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan ili kuvuruga amani na usalama ndani ya Pakistan.

  • Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan

    Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan

    Jul 12, 2022 02:56

    Watu wasiopungua 150 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Onyo la Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran kwa Israel

    Onyo la Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran kwa Israel

    Jun 27, 2022 06:55

    Kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kichokozi katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kuwa, sera ya Israel ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na chokochoko zozote za utawala huo katika eneo zitakabiliwa na jibu mwafaka.

  • Rais Raisi atilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Pakistan

    Rais Raisi atilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Pakistan

    Jun 15, 2022 03:01

    Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi yake haina mipaka katika kustawisha uhusiano wake na Pakistan na kusisitiza kuwa, Iran ina uwezo wa kutosha wa kudhamini mahitaji muhimu ya Pakistan katika nyuga tofauti zikiwemo za mafuta, gesi na umeme.

  • Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW

    Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW

    Jun 07, 2022 06:18

    Matamshi ya utovu wa adabu ya viongozi wawili wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata (BJP) dhidi ya Bwana Mtume (SAW) yamekabiliwa na wimbi la malalamiko ya mataifa ya Kiislamu na Waislamu kwa ujumla ulimwenguni.

  • Jumamosi, 28 Mei 2022

    Jumamosi, 28 Mei 2022

    May 27, 2022 22:55

    Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 28 Mei 2022 Miladia.

  • Imran Khan aipa serikali ya Pakistan siku sita kuvunja mabunge na kutangaza uchaguzi mpya

    Imran Khan aipa serikali ya Pakistan siku sita kuvunja mabunge na kutangaza uchaguzi mpya

    May 26, 2022 22:02

    Aliyekuwa waziri mkuu wa Pakistan Imran Khan, ametoa onyo kwa serikali kwamba ama itangaze uchaguzi mpya katika muda wa siku sita zijazo au ataongoza tena maandamano ya mamilioni ya watu katika mji mkuu Islamabad.

  • Imran Khan asema ametishiwa tena kuuawa, arekodi mkanda wa video wa majina ya wahusika

    Imran Khan asema ametishiwa tena kuuawa, arekodi mkanda wa video wa majina ya wahusika

    May 15, 2022 03:30

    Waziri Mkuu wa Pakistan aliyeuzuliwa Imran Khan amesema, njama za kutishia maisha yake zinaendelea kufanywa ndani na nje ya nchi hiyo na kwamba amesharekodi mkanda wa video wenye majina ya watu wote wanaokula njama dhidi yake.

  • Shehbaz Sharif achaguliwa kuwa Waziri Mkuu Pakistan baada ya Khan kutimuliwa

    Shehbaz Sharif achaguliwa kuwa Waziri Mkuu Pakistan baada ya Khan kutimuliwa

    Apr 11, 2022 21:59

    Bunge la Pakistani limemchagua Shehbaz Sharif kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo baada ya mtangulizi wake, Imran Khan, kuondolewa na wabunge wengi wa chama chake kujiuzulu kutoka katika Bunge la Kitaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS