-
Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu mjini Islamabad
Mar 23, 2022 06:16Mkutano wa 48 wa siku mbili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ulianza jana Jumanne mjini Islamabad, mji mkuu wa Pakistan.
-
Jumatano tarehe 23 Machi mwaka 2022
Mar 22, 2022 22:15Leo ni Jumatato tarehe 20 Shaabani 1443 Hijria sawa na Machi 23 mwaka 2022.
-
Pakistan yasisitiza kuimarishwa hadhi ya kimataifa ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC)
Mar 22, 2022 08:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema katika hafla ya ufunguzi wa kikao cha 48 cha Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kwamba: "Kuimarishwa na kutatua matatizo ya nchi zote wanachama ndilo lengo kuu la OIC."
-
Yemen yalaani shambulio la kigaidi lililoua Waislamu waliokuwa wakisali Sala ya Ijumaa, Pakistan
Mar 06, 2022 00:51Wizara ya Mambo ya Nje serikali ya uwokovu wa kitaifa ya Yemen imelaani shambulio la kigaidi lililolenga Waislamu waliokuwa wakisali ndani ya msikiti mmoja wa mji wa Peshawar, kaskazini-magharibi mwa Pakistan.
-
110 wauawa, kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Msikitini Pakistan
Mar 04, 2022 08:51Waislamu wasiopungua 45 wameuawa shahidi leo wakati wa Swala ya Ijumaa katika shambulizi la kigaidi lililofanyika ndani ya msikiti mmoja ulioko katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.
-
Safari ya Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran nchini Pakistan na diplomasia ya Tehran ya ulinzi amilifu
Feb 28, 2022 07:39Jumapili ya jana tarehe 27 Februari, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi, Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad kwa minajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa kijeshi na kisiasa wa nchi hiyo.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran nchini Pakistan; majirani wawili wenye maslahi na daghadagha ya pamoja
Feb 15, 2022 08:58Jumatatu ya jana tarehe 14 Februari, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alifanya safari ya nchini Pakistan.
-
Kufanyika mkutano wa umoja wa Kiislamu nchini Pakistan
Dec 31, 2021 23:25Mkutano wa umoja wa Kiislamu umefanyika katika mji wa Lahore, Pakistan kwa kuhudhuriwa na Hujjatul Islam Wal muslimin Hamid Shahriyari, Katibu Mkuu wa Baraza la Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu na Sirajul-Haq, Kiongozi wa chama cha Jaamatul-Islami cha Pakistan.
-
Radiamali ya Taliban kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan
Dec 21, 2021 23:06Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Taliban ametoa radiamali kwa matamshi ya Waziri Mkuu wa Pakistan akisema kuwa: Hakuna mtu atakayeruhusiwa kutumia ardhi ya Afghanistan dhidi ya mataifa mengine.
-
Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu
Dec 20, 2021 05:42Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.