-
Jumapili tarehe 6 Februari 2022
Feb 05, 2022 23:06Leo ni Jumapili tarehe 4 Rajab 1443 Hijria sawa na tarehe 6 Februari 2022.
-
Wapalestina wautaka Umoja wa Afrika kuifukuza Israel katika umoja huo
Feb 05, 2022 10:47Viongozi na makundi ya ukombozi wa Palestina wameutaka Umoja wa Afrika (AU) kufikiria upya uamuzi wa mwaka jana wa kuipa Israel hadhi ya kuwa mwangalizi katika umoja huo.
-
Hamas yamshukuru mcheza tenisi Mkuwaiti aliyekataa kucheza na Mzayuni
Jan 29, 2022 06:53Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imempongeza mcheza tenisi wa Kuwait aliyekataa kucheza na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani
Jan 19, 2022 07:16Iran imepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana hapa nchini katika kuwawezesha wanawake na wasichana, licha ya vikwazo vya Marekani vilivyo kinyume cha sheria na vya kinyama vinavyolenga nchi hiyo.
-
Palestina yatuma barua Umoja wa Mataifa kulalamikia jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Jan 15, 2022 23:15Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amewatumia barua viongozi na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa akikosoa na kulalamikia kuongezeka jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina.
-
Waigizaji maarufu wamuunga mkono mwenzao aliyewatetea Wapalestina
Jan 14, 2022 21:22Makumi ya waigizaji nyota wa filamu duniani wamejitokeza na kutangaza kumuunga mkono muigizaji mwenzao wa Uingereza, Emma Watson, ambaye hivi karibuni alishambuliwa vikali na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuchapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram ujumbe wa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kiongozi wa Hamas mjini Doha
Jan 12, 2022 01:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na Ismail Haniyeh kiongozi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
-
Jumatano tarehe 12 Januari 2022
Jan 11, 2022 23:03Leo ni Jumatano tarehe 9 Jamadithani 1443 Hijria sawa na tarehe 12 Januari 2022.
-
Namna alivyokamatwa ajenti wa Mossad katika mauaji ya mwanasayansi wa Kipalestina
Jan 10, 2022 23:08Hatua ya vyombo vya kiintelijinsia vya muqawama ya kusikiliza mazungumzo ya mmoja wa wahusika wa mauaji ya kigaidi ya msomi na mwanasayansi wa Kipalestina aliyeuliwa huko Malaysia imepelekea kukamatwa ajenti huyo Ghaza kufuata oparesheni ya wanamuqawama.
-
Mashahidi wawili katika siku moja; jinai zisizo na ukomo za Israel dhidi ya Wapalestina
Jan 09, 2022 00:09Wanajeshi na walowezi wa Kizayuni wa Israel siku ya Alkhamisi waliwauwa shahidi na kidhulma vijana wawili wa Kipalestina.