-
HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 01, 2021 23:30Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeyataka mabunge ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu yasimame kidete na kuzizuia serikali zao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Siku ya Kimataifa ya Kufungamana na Palestina; hatua ya kipropaganda ya Umoja wa Mataifa
Dec 01, 2021 07:31Licha ya kupita miaka 44 tangu Umoja wa Mataifa utangaze tarehe 29 Novemba kuwa Siku ya Kimataifa ya Kufungamana na Taifa la Palestina lakini hakuna lolote la maana ambalo limechukuliwa katika uwanja huo na badala yake hali ya Palestina inaendelea kuwa mbaya na ya kusikitisha mwaka hadi mwingine.
-
Israel imewasababishia Wapalestina hasara ya dola bilioni 57 katika Ukingo wa Magharibi
Nov 30, 2021 01:00Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo UNCTAD limechapisha ripoti inayoonyesha kuwa sera za ukaliaji mabavu za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan zimesababisha hasara ya kiuchumi ya zaidi ya dola bilioni 57 kwa taifa la Palestina katika kipindi cha miongo miwili iliyopita.
-
Onyo la HAMAS kwa rais wa utawala haramu wa Israel
Nov 28, 2021 08:29Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya mpango wa Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Isaac Herzog wa kuutembelea Mstikiti wa Ibrahim kusini magharibi mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Umoja wa Maulamaa Waislamu: Ni haramu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni
Nov 28, 2021 04:33Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa Waislamu umelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha muungano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusaini mikataba ya mapatano na utawala huo ghasibu.
-
PLO yalaani makubaliano ya kijeshi ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 27, 2021 04:30Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imelaani vikali makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa baina ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel na kueleza kuwa, mabaliano hayo ni zawadi kwa wavamizi.
-
Jumanne tarehe 23 Novemba 2021
Nov 23, 2021 16:34Leo ni Jumanne tarehe 17 Rabiuthani 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 23 Novemba 2021.
-
Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi
Nov 22, 2021 04:41Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamefanya hujuma na mashambulio dhidi ya nyumba za Wapalestina kusini mwa mji wa Nablos ulioko kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Haniya: Iran ni nguzo muhimu ya kambi ya muqawama
Nov 21, 2021 08:01Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuitaja kama nguzo kuu na muhimu ya mrengo wa muqawama wa Wapalestina.
-
Sekretarieti ya Kuunga Mkono Intifadha ya Palestian yalaani hatua ya Uingereza dhidi ya HAMAS
Nov 20, 2021 04:45Sekretarieti ya Kudumu ya Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina Katika Bunge la Iran imelaani vikali hatua ya serikali ya Uingereza ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika orodha ya makundi ya kigaidi.