Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamemuenzi Shahidi Soleimani

    Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamemuenzi Shahidi Soleimani

    Dec 30, 2020 00:52

    Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamemuenzi Shahidi Luteni Jeneali Qassem Soleimani mwaka mmoja baada ya kuuawa kwake katika hujuma ya jeshi la kigaidi la Marekani katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Hania: Muqawama ndiyo njia bora na pekee ya kukabiliana na kumaliza uvamizi

    Hania: Muqawama ndiyo njia bora na pekee ya kukabiliana na kumaliza uvamizi

    Dec 29, 2020 08:13

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kwa mtazamo wa wananchi wa Palestina, muqawama ndilo chaguo bora kabisa la kupambana na kukomboa kikamilifu ardhi zao.

  • Hamas yasisitizia mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni

    Hamas yasisitizia mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni

    Dec 28, 2020 04:43

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, mapambano ya silaha dhidi ya utawala wa Kizayuni ambao ndiye adui mkubwa wa ubinadamu, Waislamu na Wapalestina, ndiyo njia pekee ya kupambana na kumshinda adui huyo mtenda jinai.

  • Jihad Islami ya Palestina: Wazayuni wanawaogopa wanamuqawama wa Palestina

    Jihad Islami ya Palestina: Wazayuni wanawaogopa wanamuqawama wa Palestina

    Dec 27, 2020 11:57

    Afisa mwanadamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema hujuma za jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza ni ishara ya kuchanganyikiwa wakuu wa utawala huo wa Kizayuni ambao sasa wanaogopa makundi wa wanamuqawama au wanamapambano wa Palestina.

  • Kupitishwa maazimio 17 ya Baraza la Kuu la UN dhidi ya Israel katika mwaka 2020

    Kupitishwa maazimio 17 ya Baraza la Kuu la UN dhidi ya Israel katika mwaka 2020

    Dec 26, 2020 23:02

    Utawala wa Kizayuni ni utawala pekee uliolaaniwa na Umoja wa Mataifa mara tatu zaidi ya nchi nyingine zote duniani katika mwaka huu wa 2020. Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha jumla ya maazimio 17 dhidi ya Israel katika mwaka huu wa 2020.

  • Haniya: Kuanzisha uhusiano na Israel ni kuupiga jambia umma wa Kiislamu

    Haniya: Kuanzisha uhusiano na Israel ni kuupiga jambia umma wa Kiislamu

    Dec 24, 2020 04:34

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni sawa na kuwapiga jambia kwa nyuma wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.

  • Kutangaza msimamo wa wazi Pakistan wa kupinga kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Kutangaza msimamo wa wazi Pakistan wa kupinga kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Dec 23, 2020 09:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amepinga aina yoyote ya mashinikizo ya nje dhidi ya nchi hiyo kwa ajili ya kujiunga na safau ya nchi zinazoanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni na kueleza kuwa: Islamabad katu haitaitambua rasmi Israel.

  • Jumanne, 22 Desemba, 2020

    Jumanne, 22 Desemba, 2020

    Dec 22, 2020 01:32

    Leo ni Jumanne tarehe 7 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe 22 Desemba 2020 Miladia.

  • Wananchi wa Nigeria waandamana kuiunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Wananchi wa Nigeria waandamana kuiunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Dec 21, 2020 23:27

    Wananchi wa Nigeria wameandamana na kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina na kupinga harakati za baadhi ya mataifa ya Kiarabu za kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalalamikia kimya cha Baraza la Usalama kuhusu uvamizi wa walowezi wa Kiyahudi

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalalamikia kimya cha Baraza la Usalama kuhusu uvamizi wa walowezi wa Kiyahudi

    Dec 20, 2020 23:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuacha kunyamazia kimya uvamizi wa walowezi wa Kizayuni na badala yake uwajibike kivitendo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS