-
Palestina yachaguliwa tena kuwa mwanachama wa kamati ya utendaji ya Mahakama ya ICC
Dec 19, 2020 08:39Palestina kwa mara ya pili mtawalia imechaguliwa katika kikao cha nchi wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC ) kuwa mwanachama wa kamati ya utendaji ya mahakama hiyo.
-
Vyama vya kisiasa Algeria vyakosoa vikali kuanzishwa uhusiano kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2020 23:31Vyama vya kisiasa nchini Algeria vimekosoa vikali hatua ya Morocco ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni pigo la kidhalili kwa mataifa ya Algeria, Palestina na Sahara Magharibi.
-
Hania: Hamas ni nembo ya malengo ya Palestina na kuendelezwa muqawama
Dec 14, 2020 04:26Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa kuundwa harakati ya Hamas kwa hakika ni kule kule kuendelezwa njia ya wananchi wa Palestina yaani kupambana kwa muda mrefu na kudumishwa muqawama tangu kujiri mapinduzi ya Shahid Izzudin Qassam.
-
Vyama vya Kiislamu Morocco vyapinga uhusiano wa nchi hiyo na Israel
Dec 13, 2020 07:22Vyama vya Kiislamu nchini Morocco vimepinga vikali uamuzi wa ufalme wa nchi hiyo wa kuafikia kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel kufuatia mapatano yaliyosimamiwa na Marekani.
-
Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina
Dec 12, 2020 03:51Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inazishawishi nchi zingine kutoa muhanga kadhia ya Palestina na kuwapa mkono wezi kwa njia mbali mbali.
-
Hizbullah: Tawala za Kiarabu katika eneo hazijawahi kuwa pamoja na Palestina
Dec 08, 2020 08:45Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, tawala za Kiarabu zinazotenda jinai katika Mashariki ya Kati hazijawahi kuwa pamoja na Palestina wala kuunga mkono muqawama.
-
Az-Zahar: Kuwa na uratibu wa kiusalama na Israel ni kuisaliti Palestina
Dec 06, 2020 04:35Mahmoud Az-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, watu wanaoitakidi kwamba, kuwa na uratibu wa kiusalama na Israel ni mkakati wa kitaifa wanaisaliti ardhi ya Palestina, watu wake na matukufu yake.
-
Wamorocco wachoma moto bendera ya Israel katika kuonyesha mshikamano wao na Palestina
Dec 01, 2020 04:05Wananchi wa Morocco wamechoma bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikana na Taifa la Palestina.
-
Jumatatu, 30 Novemba, 2020
Nov 30, 2020 01:04Leo ni Jumatatu tarehe 14 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 30 Novemba 2020 Miladia.
-
Uturuki yakosoa mpango wa nchi za Kiarabu wa kufungua balozi zao Baitul Muqaddas
Nov 28, 2020 04:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema mpango wa nchi za Kiarabu wa kufungua balozi zao katika mji wa Baitul Muqaddas, utadhoofisha uwezekano wa kuundwa nchi ya Palestina.