Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hatimaye Maher al Akhras aachiwa huru baada ya kugoma kula kwa muda mrefu

    Hatimaye Maher al Akhras aachiwa huru baada ya kugoma kula kwa muda mrefu

    Nov 26, 2020 04:49

    Maher al Akhras mateka wa Kipalestina ambaye alikabiliana pakubwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kugoma kula kwa muda mrefu hatimaye ameaachiwa huru kutoka katika jela za utawala huo.

  • Wanawake wa Kipalestina zaidi ya elfu 15 watiwa mbaroni na Israel kuanzia mwaka 1967 hadi sasa

    Wanawake wa Kipalestina zaidi ya elfu 15 watiwa mbaroni na Israel kuanzia mwaka 1967 hadi sasa

    Nov 26, 2020 01:04

    Kituo kimoja cha Utafiti Maalumu wa Masuala ya Mateka wa Kipalestina kimeripoti kuwa, zaidi ya wanawake wa Kipalestina elfu 15 wametiwa mbaroni na utawala wa Kizayuni tangu mwaka 1967 hadi sasa.

  • Waziri Mkuu wa Morocco: Wamorocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa

    Waziri Mkuu wa Morocco: Wamorocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa

    Nov 23, 2020 01:00

    Waziri Mkuu wa Morocco amesema kuwa wananchi wa Morocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa.

  • Jumapili tarehe 22 Novemba 2020

    Jumapili tarehe 22 Novemba 2020

    Nov 21, 2020 23:13

    Leo ni Jumapili tarehe 6 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria sawa na tarehe 22 Novemba 2020.

  • Jeshi la Israel limeua watoto 3,000 wa Palestina tokea Intifadha ya 2

    Jeshi la Israel limeua watoto 3,000 wa Palestina tokea Intifadha ya 2

    Nov 20, 2020 23:06

    Wizara ya Habari ya Palestina imeripoti kuwa, maelfu ya watoto wa Kipalestina wameuawa shahidi mikononi mwa askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili ya Palestina hadi sasa.

  • Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao

    Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao

    Nov 20, 2020 04:17

    Umoja wa Mataifa umepasisha azimio linalotilia mkazo haki walionayo Wapalestina ya kujiainishia hatima na mustakabali wao.

  • Kamati za Muqawama Palestina: Watawala wa Bahrain wamelisaliti taifa la Palestina

    Kamati za Muqawama Palestina: Watawala wa Bahrain wamelisaliti taifa la Palestina

    Nov 20, 2020 03:27

    Msemaji wa Kamati za Muqawama za Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Bahrain katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na zilizopewa jina bandia la Israel.

  • Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Nov 15, 2020 08:30

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimeshambulia ngome za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza mapema leo Jumapili.

  • Arab League yataka kuokolewa mateka wa Kipalestina katika jela za Israel

    Arab League yataka kuokolewa mateka wa Kipalestina katika jela za Israel

    Nov 12, 2020 04:03

    Kufuatia kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa mwito wa kuchukiliwa hatua za dharura za kuwanusuru mateka wengine wa Kipalestina wanaozuiliwa katika mazingira ya kuogofya katika jela na korokoro hizo za Wazayuni.

  • Harakati za Palestina zalaani mateka Mpalestina kufia gerezani

    Harakati za Palestina zalaani mateka Mpalestina kufia gerezani

    Nov 11, 2020 04:16

    Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametoa taarifa na kulaani kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hilo ni thibitisho la namna utawala huo unavyowatendea unyama wafungwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS