-
Hatimaye Maher al Akhras aachiwa huru baada ya kugoma kula kwa muda mrefu
Nov 26, 2020 04:49Maher al Akhras mateka wa Kipalestina ambaye alikabiliana pakubwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kugoma kula kwa muda mrefu hatimaye ameaachiwa huru kutoka katika jela za utawala huo.
-
Wanawake wa Kipalestina zaidi ya elfu 15 watiwa mbaroni na Israel kuanzia mwaka 1967 hadi sasa
Nov 26, 2020 01:04Kituo kimoja cha Utafiti Maalumu wa Masuala ya Mateka wa Kipalestina kimeripoti kuwa, zaidi ya wanawake wa Kipalestina elfu 15 wametiwa mbaroni na utawala wa Kizayuni tangu mwaka 1967 hadi sasa.
-
Waziri Mkuu wa Morocco: Wamorocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa
Nov 23, 2020 01:00Waziri Mkuu wa Morocco amesema kuwa wananchi wa Morocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa.
-
Jumapili tarehe 22 Novemba 2020
Nov 21, 2020 23:13Leo ni Jumapili tarehe 6 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria sawa na tarehe 22 Novemba 2020.
-
Jeshi la Israel limeua watoto 3,000 wa Palestina tokea Intifadha ya 2
Nov 20, 2020 23:06Wizara ya Habari ya Palestina imeripoti kuwa, maelfu ya watoto wa Kipalestina wameuawa shahidi mikononi mwa askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili ya Palestina hadi sasa.
-
Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao
Nov 20, 2020 04:17Umoja wa Mataifa umepasisha azimio linalotilia mkazo haki walionayo Wapalestina ya kujiainishia hatima na mustakabali wao.
-
Kamati za Muqawama Palestina: Watawala wa Bahrain wamelisaliti taifa la Palestina
Nov 20, 2020 03:27Msemaji wa Kamati za Muqawama za Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Bahrain katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na zilizopewa jina bandia la Israel.
-
Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza
Nov 15, 2020 08:30Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimeshambulia ngome za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza mapema leo Jumapili.
-
Arab League yataka kuokolewa mateka wa Kipalestina katika jela za Israel
Nov 12, 2020 04:03Kufuatia kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa mwito wa kuchukiliwa hatua za dharura za kuwanusuru mateka wengine wa Kipalestina wanaozuiliwa katika mazingira ya kuogofya katika jela na korokoro hizo za Wazayuni.
-
Harakati za Palestina zalaani mateka Mpalestina kufia gerezani
Nov 11, 2020 04:16Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametoa taarifa na kulaani kufa shahidi mateka Mpalestina Kamal Abu Waar akiwa katika jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hilo ni thibitisho la namna utawala huo unavyowatendea unyama wafungwa.