-
Mpango wa Muamala wa Karne, Palestina yakataa upatanishi wa Marekani
Jul 05, 2019 02:36Wiki mbili tu baada ya mkutano wa utangulizi wa kutekeleza mpango uliopewa jina la "Muamala wa Karne" huko Manama nchini Bahrain, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Palestina haikubali upatanishi wa Marekani katika kadhia ya Palestina.
-
Abbas apinga upatanishi wa Marekani katika mgogoro wa Palestina
Jul 04, 2019 02:14Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Palestina haiwezi kukubali upatanishi wa Marekani kati yake na utawala haramu wa Israel.
-
Alkhamisi, 04 Julai, 2019
Jul 03, 2019 22:16Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Mfunguuo Pili Dhulqaada 1440 Hijria sawa na 4 Julai mwaka 2019.
-
Harakati ya Fat-h yapendekeza kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya Palestina
Jul 02, 2019 08:07Mshauri wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Harakati ya Fat-h imetoa pendekezo kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) la kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa.
-
Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa
Jul 01, 2019 08:08Wanaharakati na watetezi wa haki za Wapalestina nchini Ufaransa wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris, sambamba na kulaani safari ya Meya wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel, nchini humo.
-
Palestina: Kikao cha Manama kinaashiria kufeli utawala wa Trump
Jun 30, 2019 03:38Msemaji wa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne umeonesha ni jinsi gani sera na mipango batili ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani imefeli.
-
Kamati ya Mshikamano wa Wakenya na Wapalestina: Muamala ya Karne utagonga mwamba
Jun 27, 2019 12:29Vuguvugu la mshikamano baina ya Wakenya na Wapelestina limekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
-
PLO: Marekani inakusudia kubuni mipaka mipya eneo la Asia Magharibi
Jun 27, 2019 03:25Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO, amesema kuwa mkutano wa kiuchumi wa mjini Manama, Bahrain umefeli kufikia malengo yake na kuongeza kuwa Marekani inakusudia kubuni mipaka mipya katika eneo la Asia Magharibi na kuanzisha muungano ulio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wapalestina waandamana kupinga mkutano wa 'Muamala wa Karne' Bahrain
Jun 26, 2019 02:01Maefu ya wananchi wa Palestina jana Jumanne walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga mkutano wa kuzindua Muamala wa Karne ulionza jana katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.
-
Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka
Jun 25, 2019 22:27Waziri Mkuu wa Palestina amesema kuwa mhandisi na mtayarishaji wa mpango wa Kimarekani wa eti amani ya Mashariki ya Kati wa Muamala wa Karne unaosimamiwa na mkwe wa Rais Donald Trump, Jared Kushner na wenzake hawaelewi kuwa Wapalestina hawataki sadaka bali wanadai haki zao za kuwa huru na kukomeshwa uvamizi wa Israel na udhibiti wa dola hilo haramu wa maisha na uchumi wao.