Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mpango wa Muamala wa Karne, Palestina yakataa upatanishi wa Marekani

    Mpango wa Muamala wa Karne, Palestina yakataa upatanishi wa Marekani

    Jul 05, 2019 02:36

    Wiki mbili tu baada ya mkutano wa utangulizi wa kutekeleza mpango uliopewa jina la "Muamala wa Karne" huko Manama nchini Bahrain, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Palestina haikubali upatanishi wa Marekani katika kadhia ya Palestina.

  • Abbas apinga upatanishi wa Marekani katika mgogoro wa Palestina

    Abbas apinga upatanishi wa Marekani katika mgogoro wa Palestina

    Jul 04, 2019 02:14

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Palestina haiwezi kukubali upatanishi wa Marekani kati yake na utawala haramu wa Israel.

  • Alkhamisi, 04 Julai, 2019

    Alkhamisi, 04 Julai, 2019

    Jul 03, 2019 22:16

    Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Mfunguuo Pili Dhulqaada 1440 Hijria sawa na 4 Julai mwaka 2019.

  • Harakati ya Fat-h yapendekeza kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya Palestina

    Harakati ya Fat-h yapendekeza kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya Palestina

    Jul 02, 2019 08:07

    Mshauri wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Harakati ya Fat-h imetoa pendekezo kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) la kufanyika uchaguzi na kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa.

  • Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa

    Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa

    Jul 01, 2019 08:08

    Wanaharakati na watetezi wa haki za Wapalestina nchini Ufaransa wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris, sambamba na kulaani safari ya Meya wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel, nchini humo.

  • Palestina: Kikao cha Manama kinaashiria kufeli utawala wa Trump

    Palestina: Kikao cha Manama kinaashiria kufeli utawala wa Trump

    Jun 30, 2019 03:38

    Msemaji wa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne umeonesha ni jinsi gani sera na mipango batili ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani imefeli.

  • Kamati ya Mshikamano wa Wakenya na Wapalestina: Muamala ya Karne utagonga mwamba

    Kamati ya Mshikamano wa Wakenya na Wapalestina: Muamala ya Karne utagonga mwamba

    Jun 27, 2019 12:29

    Vuguvugu la mshikamano baina ya Wakenya na Wapelestina limekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • PLO: Marekani inakusudia kubuni mipaka mipya eneo la Asia Magharibi

    PLO: Marekani inakusudia kubuni mipaka mipya eneo la Asia Magharibi

    Jun 27, 2019 03:25

    Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO, amesema kuwa mkutano wa kiuchumi wa mjini Manama, Bahrain umefeli kufikia malengo yake na kuongeza kuwa Marekani inakusudia kubuni mipaka mipya katika eneo la Asia Magharibi na kuanzisha muungano ulio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Wapalestina waandamana kupinga mkutano wa 'Muamala wa Karne' Bahrain

    Wapalestina waandamana kupinga mkutano wa 'Muamala wa Karne' Bahrain

    Jun 26, 2019 02:01

    Maefu ya wananchi wa Palestina jana Jumanne walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga mkutano wa kuzindua Muamala wa Karne ulionza jana katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

  • Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka

    Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka

    Jun 25, 2019 22:27

    Waziri Mkuu wa Palestina amesema kuwa mhandisi na mtayarishaji wa mpango wa Kimarekani wa eti amani ya Mashariki ya Kati wa Muamala wa Karne unaosimamiwa na mkwe wa Rais Donald Trump, Jared Kushner na wenzake hawaelewi kuwa Wapalestina hawataki sadaka bali wanadai haki zao za kuwa huru na kukomeshwa uvamizi wa Israel na udhibiti wa dola hilo haramu wa maisha na uchumi wao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS