-
Mradi wa Wazayuni na Marekani wa kubadilisha jina la mashariki ya Palestina kuwa "Yuda na Samaria" utaishia wapi?
Dec 13, 2024 02:58Kadiri wakati wa kuapishwa rasmi Donald Trump kuwa rais wa Marekani unavyozidi kukaribia, ndivyo mipango na njama za Washington za kuunga mkono sera za kujitanua zaidi utawala ghasibu wa Israel zinavyohiri na kuonekana wazi zaidi.
-
Netanyahu asema, Miinuko ya Golan ya Syria itakaliwa kinyume cha sheria na Israel hadi 'milele'
Dec 10, 2024 11:31Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amesema, Miinuko ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu itabaki "milele kuwa sehemu isiyoweza kutenganishwa" na Israel.
-
Vyama vya upinzani Namibia vyapinga ushindi wa SWAPO katika uchaguzi wa rais
Dec 07, 2024 02:25Kiongozi wa Chama cha Wazalendo Wanaojitegemea kwa ajili ya Mabadiliko (Independant Patriots for Change) nchini Nambia IPC Panduleni Itula amesisitiza kuwa hawayakubali matokeo ya uchaguzi wa rais yanayoonyesha mgombea wa chama tawala SWAPO ameshinda kwa zaidi ya 57% ya kura akiuita uchaguzi huo kuwa ni wa "fujo".
-
Morocco yachapisha stempu ya Gaza kuwaunga mkono Wapalestina
Dec 03, 2024 07:15Idara ya posta ya Morocco imechukua hatua ya kuwaunga mkono Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuchapisha stempu yenye anuani "Pamoja na Gaza".
-
Ijumaa, tarehe 29 Novemba, 2024
Nov 29, 2024 02:30Leo ni Ijumaa tarehe 27 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na Novemba 29 mwaka 2024.
-
Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani
Nov 26, 2024 06:42Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Yoav Gallant anapanga kusafiri kuelekea Marekani licha ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kumkamata kwa kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi
Nov 25, 2024 13:17Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza ambayo imezingirwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuhitimisha maangamizi inayoendelea kufanywa na utawala huo kaskazini mwa Palestina.
-
Sababu za kusalia imara Muqawama-2
Nov 17, 2024 02:39Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama imara kambi ya Muqawama dhidi ya mabeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel...
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel
Nov 16, 2024 12:33Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za lazima ili kukomesha jinai za utawala ghasibu wa Israel.
-
Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina
Nov 16, 2024 12:00Kamati ya Haki za Binadamu na Masuala ya Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio na kusisitiza kuwa wananchi wa Palestina wana haki ya kujiainishia mustakbali wao katika ardhi za Palestina, na kwamba wana haki ya kuwa huru, kujitawala na kujikomboa haraka kutoka katika makucha ya ukaliaji mabavu wa utawala wa Kizayuni.