-
Algeria yasisitiza kuhusu ulazima wa kuipa uzito kadhia ya Palestina
Nov 21, 2022 22:55Spika wa Bunge la Algeria amesisitiza juu ya ulazima wa kuzingatiwa na kupewa uzito suala la Palestina. Ibrahim Boughali ametoa sisitizo hilo katika kikao na ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) kilichofanyika katika mji mkuu wa Algeria, Algiers.
-
Wapalestina wapata ushindi mwingine Umoja wa Mataifa
Nov 18, 2022 03:17Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio ikitambua haki ya watu wa Palestina ya kuamua hatima yao wenyewe.
-
Israel yatumia bunduki za roboti dhidi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Nov 17, 2022 03:25Jeshi la utawala haramu wa Israel limepeleka silaha mpya za roboti katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huku makabiliano baina ya Wazayuni na Wapalestina yakipamba moto.
-
Jumanne tarehe 15 Novemba 2022
Nov 14, 2022 22:56Leo ni Jumanne tarehe 20 Mfunguo Saba Rabiuthani 1444 Hijria sawa na Novemba 15 mwaka 2022.
-
Jeshi la Israel lampiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina
Nov 14, 2022 07:19Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi msichana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 19 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ripoti: Tel Aviv inatumia "mbinu za kimafia" dhidi ya makundi ya haki za binadamu ya Palestina
Nov 08, 2022 23:18Shirika la kutetea haki za binadamu la Palestina limesema katika ripoti yake kwa kamati ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inatumia vitisho na mbinu za kimafia kuyanyamazisha mashirika ya kutetea haki za binadamu.
-
HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi
Nov 03, 2022 08:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema wananchi wa Palestina wataendeleza kwa nguvu zote jitihada na mapambano ya kulikomboa kikamilifu taifa lao kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria: Kadhia ya Palestina ipo ndani ya vipaumbele vyetu
Nov 02, 2022 04:14Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) katika mji mkuu Algiers, Rais wa Algeria ameitaja kadhia ya Palestina kuwa suala muhimu na nyeti.
-
Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022
Oct 31, 2022 23:00Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wameanzisha kampeni ya kusuusiwa kampuni ya vifaa vya michezo ya PUMA ya Ujerumani na kupeperushwa bendera ya Palestina wakati wa mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022 ili kuwaazindua walimwengu kuhusumasaibu ya watu wa Palestina na umuhimu wa ukombozi wa ardhi hiyo inayokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Jukumu lililosahauliwa la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina
Oct 31, 2022 00:46Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao mara mbili asubuhi na jioni kujadili matukio mapya yanayojiri Palestina.