-
Israel yapuuza azimio la UN la kusitisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Sep 29, 2022 08:36Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati amesema Israel inaendelea kupuuza azimio la mwaka 2016 la Baraza la Usalama la UN, linaloutaka utawala huo wa Kizayuni usitishe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Hamas: Kuendelea kuhujumiwa al-Aqsa 'kutalipua' Asia Magharibi
Sep 28, 2022 04:42Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikali hujuma na uvamizi unaoendelea wa wanajeshi wa Kizayuni na walowezi wa Kiyahudi dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
HAMAS: Israel inatumia vibaya udhaifu wa ulimwengu wa Kiarabu kudhibiti Masjidul-Aqswa
Sep 27, 2022 04:42Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Beitul-Muqaddas na msikiti mtakatidu wa al-Aqswa.
-
HAMAS: Taifa la Palestina litapata ushindi katika vita vyake na utawala haramu wa Israel
Sep 27, 2022 01:15Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, taifa la Palestina ndilo litakaloibuka na ushindi katika vita na utawala ghasibu wa israel.
-
Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa
Sep 27, 2022 01:04Wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni wamemshambulia na kumvamia Abubakar al Shimi mzee mwenyeji wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu aliye na umri wa miaka 65 ambaye alikuwa na lengo la kuingia katika Msikiti mtukufu wa al Aqsa.
-
Leo ni Jumanne tarehe 27 Septemba 2022
Sep 26, 2022 22:45Leo ni Jumanne tarehe 30 Safar 1444 Hijria sawa na 27 Septemba 2022.
-
Jumatatu tarehe 26 Septemba 2022
Sep 26, 2022 02:46Leo ni Jumatatu tarehe 29 Safar 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Septemba 2022.
-
Amir-Abdollahian: Mwarubaini wa uvamizi Palestina ni kuitishwa kura ya maoni
Sep 25, 2022 06:33Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tatizo la uvamizi na mzozo mkongwe katika Asia Magharibi litatuliwa kwa kutekelezwa ubunifu wa kidemokrasia wa Iran na kuitishwa kura ya maoni huko Palestina.
-
Algeria: Tuko pamoja na Wapalestina na kamwe hatutoruhusu ardhi zao zikoloniwe na wageni
Sep 25, 2022 03:18Rais wa Algeria amesema kuwa, hakuna mtu yeyote nchini humo asiyeliunga mkono taifa la Palestina na kusisitiza kuwa, Algiers kamwe haitoruhusu ardhi za Palestina zikoloniwe na wageni.
-
Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah
Sep 23, 2022 04:21Vyombo vya habari vya Kiarabu jana usiku vilitangaza habari ya kutekelezwa oparesheni ya kufa shahidi dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni huko Ramallah.