-
Jumatano tarehe 21 Septemba 2022
Sep 21, 2022 22:45Leo ni Jumatano tarehe 24 Safar 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Septemba 2022.
-
Malalamiko ya Wapalestina dhidi ya kuyahudisha mfumo wa elimu wa Quds
Sep 20, 2022 21:42Skuli za Palestina katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu zimeanzisha mgomo jumuishi kwa ajili ya kulalamikia sera za elimu za utawala ghasibu wa Israel pamoja na mpango mchafu wa utawala huo wa kuziyahudisha shule za Kipalestina.
-
Algeria yazialika harakati za Hamas na Fat'h kushiriki mazungumzo na maelewano
Sep 18, 2022 22:08Algeria imetangaza kuwa, imewaalika viongozi Wapalestina wa harakati za Hamas na Fat'h kushiriki katika mazungumzo ya maelewano ya kitaifa mjini Algiers.
-
Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike
Sep 17, 2022 03:00Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi mjini Baitul Muqaddas (Jerusalem) amesema: Palestina haitafunga mikono na kusimama kizembe katika kukabiliana na upendeleaji unaofanywa na Magharibi kwa utawala ghasibu wa Kizayuni pamoja na sera na jinai zake.
-
Pigo jingine kwa Israel, Rais wa Chile akataa kumpokea balozi mpya wa utawala wa Kizayuni
Sep 16, 2022 20:54Rais wa Chile amekataa kupokea vitambulisho vya balozi mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo, ikiwa ni kutangaza waziwazi uungaji mkono wake kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Wapalestina 2 wauawa shahidi, Mzayuni aangamizwa Ukingo wa Magharibi
Sep 14, 2022 03:22Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Jumanne tarehe 13 Septemba 2022
Sep 12, 2022 21:48Leo ni Jumanne tarehe 16 Safar 1444 Hijria sawa na 13 Septemba 2022.
-
Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama
Sep 06, 2022 23:27Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Jenin vimekuwa hifadhi na nguzo ya muqawama.
-
Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina
Sep 02, 2022 07:33Zaidi ya mashirika 290 ya Marekani na kimataifa yametoa mwito kwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo yakimtaka achukue hatua za kivitendo za kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.
-
Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora
Sep 01, 2022 03:02Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai na chokochoko zake dhidi ya mataifa mawili ya Waislamu katika eneo hili la Asia Magharibi.