Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wafungwa 1,000 wa Kipalestina watishia kuanza mgomo wa kula

    Wafungwa 1,000 wa Kipalestina watishia kuanza mgomo wa kula

    Aug 29, 2022 22:02

    Wafungwa zaidi ya 1,000 wanaoshikiliwa katika jela na magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel wameonya kuwa wataanza mgomo wa kula chakula kulalamikia kukanyagwa kwa haki zao na ukandamizaji.

  • Sisitizo la kuendelezwa

    Sisitizo la kuendelezwa "medani za pamoja za mapambano" na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

    Aug 29, 2022 22:01

    Huku utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ukiwa umeanzisha vita vikali vya kisaikolojia katika siku za hivi karibuni kuulenga uhusiano wa Hamas na Jihadul-Islami, viongozi wa harakati hizo mbili za muqawama za Palestina wamesisitiza katika mazungumzo yao kwamba wameungana na wako kitu kimopja katika mapambano yao dhidi ya utawala huo ghasibu.

  • Wafungwa wa Palestina waanza mgomo wa kula

    Wafungwa wa Palestina waanza mgomo wa kula

    Aug 22, 2022 06:37

    Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel wameanzisha mgomo usio na kikomo wa kula chakula.

  • Kongamano la Palestina lalaani hatua za Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa

    Kongamano la Palestina lalaani hatua za Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa

    Aug 22, 2022 02:04

    Sekretarieti ya Kudumu ya Kongamano la Uungaji Mkono kwa Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imelaani hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu

    Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu

    Aug 21, 2022 06:43

    Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema kuwa, Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu kabisa.

  • Kuanzisha uchunguzi Polisi ya Ujerumani dhidi ya Rais wa Palestina kuhusiana na Holocaust; undumakuwili mwingine wa Magharibi

    Kuanzisha uchunguzi Polisi ya Ujerumani dhidi ya Rais wa Palestina kuhusiana na Holocaust; undumakuwili mwingine wa Magharibi

    Aug 21, 2022 03:50

    Polisi ya Ujerumani imesema, imeanzisha uchunguzi dhidi ya Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa sababu ya kauli aliyotoa kuhusu Holocaust, yaani mauaji ya halaiki ya Wayahudi yanayodaiwa kufanywa na utawala wa Kinazi wa Ujerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.

  • Iran: Misikiti yote itaendelea kuwa vituo vya muqawama hadi ardhi zote za Palestina zitakapokombolewa

    Iran: Misikiti yote itaendelea kuwa vituo vya muqawama hadi ardhi zote za Palestina zitakapokombolewa

    Aug 21, 2022 02:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran amesema kuwa, Misikiti yote duniani itaendelea kuwa vituo vya muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni hadi zitakapokombolewa ardhi zote za Palestina.

  • Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina

    Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina

    Aug 20, 2022 05:26

    Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Ukombozi wa Wananchi wa Palestina amelaani vikali hatua ya Uturuki ya kurejesha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ijumaa, Agosti 19, 2022

    Ijumaa, Agosti 19, 2022

    Aug 18, 2022 22:08

    Leo ni Ijumaa mwezi 21 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria sawa na tarehe 19 Agosti 2022 Milaadia.

  • HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Aug 17, 2022 23:41

    Mousa Mohammed Abu Marzook, Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS