Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina wa Gaza wataka kushtakiwa Wazayuni walioua watoto wao

    Wapalestina wa Gaza wataka kushtakiwa Wazayuni walioua watoto wao

    Aug 17, 2022 07:47

    Wakazi wa Ukanda wa Gaza wamefanya maandamano wakitaka kufunguliwa mashitaka utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama za kimataifa, kwa kuua watoto wa Kipalestina katika eneo hilo ambalo liko chini mzingiro.

  • HAMAS: Muqawama ndio njia bora kabisa ya kuikomboa ardhi ya Palestina

    HAMAS: Muqawama ndio njia bora kabisa ya kuikomboa ardhi ya Palestina

    Aug 15, 2022 22:12

    Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, muqawama na mapambano ndio njia bora kabisa ya kuzikomboa ardhi za Palestina na kuifanya Palestina kuwa huru.

  • Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

    Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

    Aug 14, 2022 03:00

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuwaua watoto wa Kipalestina kumegeuka na kuwa jambo la kawaida kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, na umwagaji damu huo unadhihirisha wazi kuwa Wazayuni wanakiogopa kizazi kipya cha Wapalestina.

  • Wairani waandamana kulaani ukatili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Wairani waandamana kulaani ukatili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Aug 10, 2022 06:54

    Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    Aug 08, 2022 02:58

    Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Aug 08, 2022 02:54

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema maadui Wazayuni wametangaza kuwa wako tayari kufikia makubaliano ya usitishaji vita baada ya makombora na maroketi ya wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza kuutiwa kiwewe na wahakama utawala huo wa Kizayuni.

  • Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 07, 2022 22:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani jinai zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza, amesema ushujaa wa vijana wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • HAMAS: Kuanzisha uhusiano na Wazayuni ndio sababu ya kushadidi jinai dhidi ya Wapalestina

    HAMAS: Kuanzisha uhusiano na Wazayuni ndio sababu ya kushadidi jinai dhidi ya Wapalestina

    Aug 06, 2022 22:29

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mwenendo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio unaohamasisha utawala huo dhalimu kushadidisha jinai zake dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Raisi alaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina Gaza, IRGC yatoa neno

    Raisi alaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina Gaza, IRGC yatoa neno

    Aug 06, 2022 06:30

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyopelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Algeria na Tunisia zalaani kuuliwa wananchi madhulumu wa Palestina

    Algeria na Tunisia zalaani kuuliwa wananchi madhulumu wa Palestina

    Aug 06, 2022 03:05

    Wizara za Mambo ya Nje za Algeria na Tunisia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwaua wananchi madhulumu wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS