-
Rais wa Iran: Wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni
Aug 04, 2022 22:26Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na mapambano ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.
-
Spika wa Bunge la Iran: Jihadi na mapambano ndiyo njia pekee ya ushindi
Aug 04, 2022 02:43Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameonana na Katibu Mkuu wa Jihadul Islami ya Palestina na kusisitiza kuwa, njia pekaa ya ushindi ni jihadi na mapambano.
-
Wazayuni wavamia msikiti wa al Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina 12
Aug 03, 2022 22:04Jeshi la utawala haramu wa Israel limewatia nguvu Wapalestina 12 sambamba na kundi la walowezi wa Kizayuni kuuhujumu msikiti mtukufu wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka
Jul 31, 2022 07:10Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS zimetoa taswira, sambamba na kuwahutubu Wazayuni kwamba: viongozi wa utawala wa Kizayuni wanakuambieni uongo kuhusu mateka.
-
Afrika Kusini yataka Israel itambuliwe kama 'utawala wa apathaidi'
Jul 28, 2022 03:11Afrika Kusini imeelezea wasiwasi wake juu ya ukatili unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa msingi huo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuitambua Israel kama taifa la apathaidi au ubaguzi wa rangi.
-
Baada ya kutimuliwa Russia, shirika la uhajiri wa Mayahudi kuhamishiwa Israel
Jul 25, 2022 03:44Sambamba na kushadidi mivutano katika uhusiano wa Russia na Israel, duru za habari zimeripoti kuwa shirika la uhajiri wa Mayahudi limeandaa mpango wa siri wa kuhamishia Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) ofisi yake iliyokuweko mjini Moscow.
-
UN yapitisha azimio dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel
Jul 24, 2022 22:57Umoja wa Mataifa umepitisha azimio linalosisitiza kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hauna haki ya kupora rasilimali za watu wa Palestina na za miinuko ya Golan ya Syria unayoikalia kwa mabavu.
-
Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi
Jul 24, 2022 03:08Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine 19 katika miji ya Nablus na Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Tawi la kijeshi la HAMAS ya Palestina lapiga gwaride dhidi ya Israel, Gaza
Jul 22, 2022 03:06Bridegi za Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimefanya gwaride kubwa la kijeshi katika Ukanda wa Gaza.
-
Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi
Jul 17, 2022 22:01Amir wa Qatar ameitaja Israel kuwa ndio chanzo kikuu cha mizozo katika eneo la Asia Magharibi, akisema machafuko na hali ya kutokuwepo utulivu itaendelea katika eneo hilo isipokuwa utawala ghasibu wa Israel utakapokoma kukiuka sheria za kimataifa.