-
Rais wa Uturuki alaani kimya cha "watetezi wa haki za binadamu" mbele ya ukandamizaji mkubwa wa polisi wa Ufaransa
Dec 10, 2018 23:06Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameyalaani vikali mashirika yanayojifanya kutetea haki za binadamu kutokana na kunyamazia kimya kikamilifu ukatili unaofanywa na polisi dhidi ya waandamanaji nchini Ufaransa.
-
Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni
Dec 01, 2018 11:46Polisi ya Ufaransa imetumia gesi ya kutoa machozi, mabomu ya sauti na mipira ya maji kwa ajili ya kutawanya maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaoandamana katika miji mbalimbali hususan katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris kupinga sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.
-
Ufaransa kumpokonya uraia wa fahari, San Suu Kyi kutokana na mauaji dhidi ya Waislamu Myanmar
Dec 01, 2018 11:36Jiji la Paris nchini Ufaransa limechukua uamuzi wa kumnyang'anya uraia wa fahari kiongozi wa chama tawala nchini Myanman, Aung San Suu Kyi kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris
Oct 30, 2018 22:57Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Saudi Arabia, imepewa uzingatiaji na kikao cha dunia cha haki za binaadamu mjini Paris, Ufaransa.
-
Alkhamisi, Agosti 23, 2018
Aug 22, 2018 21:08Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 23, 2018.
-
Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya
Jun 09, 2018 22:19Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimeelezea kutofurahishwa kwao na maamuzi wa mkutano wa mjini Paris Ufaransa kuhusiana na Libya na kusema kuwa zinapinga uchaguzi wa Rais na Bunge uliopangwa kufanyika nchini humo tarehe 10 Disemba mwaka huu.
-
Sisisitizo la Ufaransa na Misri la kuimarisha uhusiano wao wa kijeshi
Dec 17, 2017 08:57Paris na Cairo zimesisitizia azma yao ya kuimarisha ushirikiano baina yao katika nyuga tofauti za kijeshi na kiusalama.
-
Alkhamisi 5 Oktoba, 2017
Oct 05, 2017 00:44Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 5, 2017.
-
Jumatano, Oktoba 4, 2017
Oct 03, 2017 22:48Leo ni Jumatano tarehe 13 Muharram 1439 Hijria sawa na 4 Oktoba 2017.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017
Oct 03, 2017 00:29Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.