-
Ufaransa kumpokonya uraia wa fahari, San Suu Kyi kutokana na mauaji dhidi ya Waislamu Myanmar
Dec 01, 2018 15:06Jiji la Paris nchini Ufaransa limechukua uamuzi wa kumnyang'anya uraia wa fahari kiongozi wa chama tawala nchini Myanman, Aung San Suu Kyi kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris
Oct 31, 2018 02:27Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Saudi Arabia, imepewa uzingatiaji na kikao cha dunia cha haki za binaadamu mjini Paris, Ufaransa.
-
Alkhamisi, Agosti 23, 2018
Aug 23, 2018 01:38Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 23, 2018.
-
Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya
Jun 10, 2018 02:49Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimeelezea kutofurahishwa kwao na maamuzi wa mkutano wa mjini Paris Ufaransa kuhusiana na Libya na kusema kuwa zinapinga uchaguzi wa Rais na Bunge uliopangwa kufanyika nchini humo tarehe 10 Disemba mwaka huu.
-
Sisisitizo la Ufaransa na Misri la kuimarisha uhusiano wao wa kijeshi
Dec 17, 2017 12:27Paris na Cairo zimesisitizia azma yao ya kuimarisha ushirikiano baina yao katika nyuga tofauti za kijeshi na kiusalama.
-
Alkhamisi 5 Oktoba, 2017
Oct 05, 2017 04:14Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 5, 2017.
-
Jumatano, Oktoba 4, 2017
Oct 04, 2017 02:18Leo ni Jumatano tarehe 13 Muharram 1439 Hijria sawa na 4 Oktoba 2017.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017
Oct 03, 2017 03:59Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.
-
Sisitizo la Rais Emmanuel Macron la kuendeleza sera za Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Sep 27, 2017 04:15Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa, nchi yake itaendeleza sera za nchi yake za kurejesha amani na uthabiti na kusaidia kuundwa serikali yenye nguvu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Jumatano, Agosti 23, 2017
Aug 23, 2017 03:40Leo ni Jumatano tarehe Mosi Mfunguo Tatu Dhulhija 1438 Hijria sawa na 23 Agosti 2017 Milaadia.