-
Jumapili, 12 Mei, 2024
May 12, 2024 02:29Leo ni Jumapili tarehe 3 Mfunguo Pilii Dhul-Qaadah 1445 Hijria sawa na tarehe 12 Mei 2024 Mildia.
-
Alkhamisi, tarehe 9 Mei, 2023
May 09, 2024 02:25Leo ni Alkhamisi tarehe 30 Shawwal 1445 Hijria sawa na tarehe 9 Mei mwaka 2024.
-
Jumanne tarehe 9 Mei 2023
May 09, 2023 01:21Leo ni Jumanne tarehe 18 Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 9 Mei mwaka 2023.
-
Jumatatu tarehe 9 Mei 2022
May 09, 2022 02:25Leo ni Jumatatu tarehe 7 Mfungo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na Mei 9 Mwaka 2022.
-
Mousavi: Iran ina hamu ya kuona utulivu na amani inatawala katika eneo hili zima
Nov 24, 2020 07:18Msemaji wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye sasa ni balozi wa Iran nchini Azerbaijan amesema kuwa, Tehran ina hamu ya kuona utulivu na amani ya kudumu inapatikana katika eneo hili zima.
-
Mambo yasiyo na uwazi katika mpango wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Karabakh
Nov 16, 2020 10:19Mambo ya kutiliwa shaka na yasiyofahamika vizuri katika mkataba wa amani wa Russia kuhusu mgogoro wa Azerbaijan na Armenia juu ya eneo la Nagorno Karabakh, yamenyamaziwa kimya na viongozi wa Azerbaijan na Uturuki.
-
Vikosi vya kulinda amani vya Russia vyawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh
Nov 13, 2020 07:46Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya kulinda amani vya nchi hiyo vimeshawasili katika eneo la Nagorno-Karabakh.
-
Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh
Nov 05, 2020 03:58Russia daima imekuwa ikitahadharisha kuhusu hatari ya uwepo wa makundi ya kigaidi yenye misimamo ya kupindukia mpaka katika nchi hiyo na nchi nyingine za Caucasia na Asia ya Kati na kusisitiza udharura wa kupambana na makundi hayo.
-
Kukiukwa makubaliano ya kusitisha vita ya Moscow dakika chache baada ya kutekelezwa
Oct 12, 2020 04:52Makubaliano ya kusitisha vita baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Russia yamekiukwa dakika 5 tu baada ya kuanza kutekelezwa.
-
Iran yaunga mkono mapatano ya usitishwaji vita katika eneo la Nagorno-Karabakh
Oct 10, 2020 12:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha mapatano ya usitishwaji vita katika eneo la Nagorno-Karabakh.