-
Mazungumzo ya Doha yamalizika, pande husika zaahidi kudumisha mawasiliano
Jun 30, 2022 08:15Mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani kuhusu uondoaji vikwazo yaliyoanza juzi Jumanne katika mji mkuu wa Qatar, Doha yamemalizika; huku pande mbili zikisema kuwa zitaendelea kuwasiliana juu ya marhala zijazo za mazungumzo hayo.
-
Bagheri Kani aelekea Doha kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya JCPOA
Jun 28, 2022 08:06Kiongozi wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA anaelekea Doha, mji mkuu wa Qatar kwa ajili kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya kuiondolea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mfalme wa Saudia aibembeleza Qatar iimarishe uhusiano na Riyadh
Jun 17, 2022 11:25Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz amemuandikia barua Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani akiiomba Doha ichukue hatua za kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Riyadh.
-
Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili
May 13, 2022 10:57Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Amir wa Qatar aliwasili mjini Tehran siku ya Alhamisi kwa ziara rasmi ambapo amekutana na kuzungumza na mwenyeji wake Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Inatarajiwa ulimwengu wa Kiarabu utaingia medani ya kisiasa kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni
May 13, 2022 03:46Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema dhulma ya miongo kadhaa ya utawala khabithi wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina ni ukweli mchungu wa historia na pigo kwa ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu na kuongeza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataraji kwamba ulimwengu wa Kiarabu utaingia wazi wazi katika medani ya kisiasa kukabiliana na jinai hizo.
-
Qatar: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni ukiukaji wa maazimio ya kimataifa
May 08, 2022 08:12Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imelaani vikali mpango mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupanua vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.
-
Iran iko tayari kuisaidia Qatar kuandaa Kombe la Dunia kwa mafanikio
Apr 04, 2022 11:44Katika mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar, Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu Iran amesisitiza utayarifu wa Iran katika kuisaidia nchi hiyo kuandaa kwa mafanikio Kombe la Dunia.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu
Mar 31, 2022 02:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Amir wa Qatar aikosoa dunia kwa kupuuza kughusubiwa ardhi za Palestina
Mar 27, 2022 10:50Amir wa Qatar amekosoa vikali hatua ya utawala ghasibu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kusisitiza kuwa, asilimia kubwa ya jamii ya kimataifa imefumbia macho kadhia hiyo kwa miongo kadhaa sasa.
-
Ujerumani yasaini mkataba wa kununua gesi kutoka Qatar ili 'kupunguza utegemezi' wa gesi ya Russia
Mar 22, 2022 03:29Kwa kisingizio cha kupunguza utegemezi wa gesi ya Russia, Ujerumani imesaini mkataba wa kununua gesi kutoka Qatar.