Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Amir wa Qatar kuhudhuria mkutano wa GCC leo baada ya Saudia kuifungulia Doha mipaka yake yote

    Amir wa Qatar kuhudhuria mkutano wa GCC leo baada ya Saudia kuifungulia Doha mipaka yake yote

    Jan 05, 2021 03:43

    Qatar imethibitisha kuwa kiongozi wa nchi hiyo Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani atahudhuria mkutano wa 41 wa wakuu wa nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) unaofanyika leo katika mji wa Al-Ula nchini Saudi Arabia.

  • Qatar yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilalamika Bahrain kuingia katika anga yake bila ruhusa

    Qatar yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilalamika Bahrain kuingia katika anga yake bila ruhusa

    Dec 24, 2020 23:00

    Qatar imeandika barua kwa Baraza la Usalama na kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ikiwafahamisha kuhusu kitendo cha ndege nne za Bahrain cha kukiuka anga ya Qatar.

  • Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar

    Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar

    Dec 20, 2020 10:28

    Baadhi ya duru za kuaminika zimeripoti kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na mwenzake wa Imarati (UAE) wamefanya kikao cha faragha cha kuzungumzia kadhia ya Qatar.

  • Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu

    Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu

    Dec 18, 2020 23:30

    Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.

  • Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu na Qatar hauna dalili za kumalizika

    Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu na Qatar hauna dalili za kumalizika

    Dec 10, 2020 23:25

    Ugomvi baina ya nchi nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi ndogo ya Qatar hauna dalili ya kumalizika baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri kutoa matamshi makali dhidi ya siasa za mambo ya nje za Doha.

  • Rouhani: Nia ya Iran ni kuwa na uhusiano wa kiudugu na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Rouhani: Nia ya Iran ni kuwa na uhusiano wa kiudugu na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Nov 26, 2020 00:24

    Rais Hassan Rouhani amesema uhusiano wa Iran na Qatar ni wa kirafiki na unaendelea kustawi na akasisitiza kwamba inachotaka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa na mazungumzo, maelewano na uhusiano wa kiudugu na nchi za pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi.

  • Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Nov 10, 2020 01:11

    Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani ametaka kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hotuba ya Amir wa Qatar katika Baraza Kuu la UN; ukosoaji wa wazi wa mapatano na Israel

    Hotuba ya Amir wa Qatar katika Baraza Kuu la UN; ukosoaji wa wazi wa mapatano na Israel

    Sep 25, 2020 22:59

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amelaani hatua za Israel dhidi ya Palestina na akaeleza kwamba jamii ya kimataifa imeshindwa kukabiliana na "ukichwangumu" wa Israel.

  • Qatar nayo yakataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Qatar nayo yakataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Sep 25, 2020 07:47

    Serikali ya Qatar imekataa kuchukua uwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League badala ya Palestina ambayo nayo ilikataa uwenyekiti huo ikilalamikia hatua ya baadhi ya mataifa ya jumuiya hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wataka kuundwa taifa huru la Palestina

    Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wataka kuundwa taifa huru la Palestina

    Sep 23, 2020 03:43

    Amir wa Qatar na Mfalme wa Jordan wamesisitiza udharura wa kuundwa taifa huru la Palestina, huku wakikosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ukaliaji mabavu wa ardhi za Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS