-
Qatar yakerwa na jinai za kivita zinazotendwa na Saudia nchini Yemen
Aug 29, 2018 14:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amekosoa ripoti ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai za kivita zinazotendwa na Saudia na Imarati nchini Yemen.
-
Gazeti la Saudia: Mahujaji wa Qatar wachague Hijja au kuuangusha utawala wa nchi yao
Aug 15, 2018 07:30Gazeti la Okaz la nchini Saudi Arabia limewataka mahujaji wa Qatar kuchagua moja kati ya mawili, ima kufanya ibada ya Hijja na kuunga mkono utawala wa Al Thani na kwamba iwapo wanataka kutekeleza ibada hiyo, basi wanatakiwa kwanza kuuondoa madarakani utawala huo.
-
Qatar yatoa wito wa kukomeshwa maafa na mgogoro wa Yemen
Aug 06, 2018 13:24Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar ametoa wito wa kuanzishwa mazungumzo ya kitaifa baina ya pembe tofauti nchini Yemen na kutoa kipaumbele kwa njia za kisiasa kwa ajili ya kukomesha mgogoro wa nchi hiyo.
-
Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar
Aug 02, 2018 08:06Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwaka jana zilipanga kuishambulia na kuivamia kijeshi Qatar mwanzoni mwa mgogoro wa kidiplomasia uliosababisha kuwekewa mzingiro na vikwazo taifa hilo dogo la Ghuba ya Uajemi.
-
Afrika Kusini: Nchi zinazoizingira Qatar zinatushinikiza kuitenga nchi hiyo
Jul 19, 2018 07:45Balozi wa Afrika Kusini nchini Qatar, amesema kuwa nchi yake inakabiliwa na mashinikizo ya nchi zinazoizingira Qatar kwa lengo la kukata uhusiano na nchi hiyo.
-
Balozi wa Qatar Palestina: Hamas sasa ina nguvu kubwa kuliko ilivyokuwa huko nyuma
Jul 11, 2018 04:08Balozi wa Qatar huko Palestina amesema kuwa utawala wa Kizayuni unapasa kukubali matakwa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu eneo la Ukanda wa Ghaza kwa sababu harakati hiyo sasa iko imara zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.
-
Qatar kuiburuza Saudia mahakamani kwa tuhuma za kuingiza siasa katika ibada ya Hijah
Jul 04, 2018 04:24Serikali ya Qatar na katika mfululizo wa kufuatilia masuala ya kisheria na kimataifa dhidi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri, imetangaza kwamba imefungua mashitaka dhidi ya Riyadh kutokana na serikali ya nchi hiyo kuingiza siasa katika ibada ya Hijjah.
-
Jumatano tarehe 27 Juni, 2018
Jun 27, 2018 02:17Leo ni Jumatano tarehe 13 Shawwal 1439 Hijria sawa na Juni 27 , 2018
-
Qatar yataka Saudia na Imarati zitimuliwe Baraza la Haki za Binaadamu
Jun 23, 2018 14:12Baada ya kupita mwaka mmoja tangu kukatwa mahusiano ya nchi za Kiarabu na Qatar na kadhalika kuiwekea vikwazo na mzingiro wa kila upande nchi hiyo, serikali ya Doha imetaka uanachama wa Saudia na Imarati katika Baraza la Haki za Binaadamu usimamishwe.
-
Qatar yapinga hatua za Saudi Arabia huko Yemen
Jun 22, 2018 07:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa nchi yake inapinga hatua za muungano vamizi wa Saudi Arabia huko Yemen.