Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Mwanamfalme wa Qatar: Saudia iliyoiuza al-Aqsa kwa adui, haina haki ya kusimamia al-Kaabah

    Mwanamfalme wa Qatar: Saudia iliyoiuza al-Aqsa kwa adui, haina haki ya kusimamia al-Kaabah

    May 19, 2018 14:05

    Mjukuu wa mwasisi wa taifa la Qatar sambamba na kukosoa vikali mienendo ya Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudi Arabia kwa kuitumikia Marekani na utawala wa Kizayuni, amesema kuwa mtu ambaye ameiuza Masjidul-Aqsa kwa adui wa Uislamu, hafai kuwa msimamizi wa nyumba ya Mwenyezi Mungu ya al-Kaabah.

  • Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota

    Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota

    May 15, 2018 13:44

    Qatar imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya Somalia za kurejesha uthabiti na uhuru wa kujitawala huku mgogoro kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na Umoja wa Falme za Kiarabu ukiendelea kutokota.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: mzingiro dhidi ya Qatar ni kwa ajili ya kuficha matatizo ya ndani Saudia

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: mzingiro dhidi ya Qatar ni kwa ajili ya kuficha matatizo ya ndani Saudia

    May 13, 2018 15:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa sababu iliyopelekea nchi yake kuwekewa mzingiro ni kutaka kuficha matatizo ya matukio ya ndani ya Saudi Arabia, Imarati na Bahrain.

  • Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe

    Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe

    Apr 25, 2018 07:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amesema iwapo serikali ya Qatar inataka isiondolewe madarakani na iendelee kudhaminiwa usalama na Marekani, sharti itume wanajeshi wake nchini Syria.

  • Nchi zinazoizingira Qatar zakariri madai yao kwa Doha kama sharti la kufungua upya mahusiano

    Nchi zinazoizingira Qatar zakariri madai yao kwa Doha kama sharti la kufungua upya mahusiano

    Apr 13, 2018 07:23

    Kwa mara nyingine nchi nne za Kiarabu zainazoizingira Qatar ambazo ni Saudi Arabia, Bahrain, Imarati na Misri, zimekariri masharti yao 13 kwa serikali ya Doha kama njia ya kufungua upya uhusiano wao na nchi hiyo.

  • Marekani yaiuzia Qatar makombora 5000 huku mgogoro na Saudia ukitokota

    Marekani yaiuzia Qatar makombora 5000 huku mgogoro na Saudia ukitokota

    Apr 11, 2018 04:35

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangza idhini ya kuiuzia Qatar makombora 5000 yenye thamani ya dola milioni 300 huku mgogoro baina ya nchi hiyo ndogo na Saudia ukizidi kutokota.

  • Saudia inapanga kuigeuza Qatar kisiwa na jalala la takataka za nyuklia

    Saudia inapanga kuigeuza Qatar kisiwa na jalala la takataka za nyuklia

    Apr 10, 2018 16:55

    Saudi Arabia inapanga kuanzisha mradi wa ujenzi wa mfereji kwenye mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar ambao utaigeuza nchi hiyo ndogo ya Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi kuwa kisiwa.

  • Malengo ya safari ya Amiri wa Qatar nchini Russia

    Malengo ya safari ya Amiri wa Qatar nchini Russia

    Mar 28, 2018 10:28

    Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, Amiri wa Qatar amefanya safari nchini Russia na kukutana na Rais Vladmir Putin wa nchi hiyo ambapo wamezungumzia masuala mbalimbali.

  • Qatar: Imarati imetutaka kuachana na maandalizi ya Kombe la Dunia 2022 ili iache kutuzingira

    Qatar: Imarati imetutaka kuachana na maandalizi ya Kombe la Dunia 2022 ili iache kutuzingira

    Mar 24, 2018 14:46

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Qatar amefichua kwamba, nchi nne zinazoizingira nchi hiyo zikiongozwa na Saudi Arabia, zimetoa sharti zito kwa Doha kwamba, inatakiwa kuchagua moja ya mambo mawili, ima kuachana na maandalizi ya michuano ya kombe la dunia 2022, au kuendelea kuzingirwa na nchi hizo.

  • Bara la  Afrika  ni medani ya duru mpya ya malumbano baina ya Qatar na kundi la Kiarabu la 3+1

    Bara la Afrika ni medani ya duru mpya ya malumbano baina ya Qatar na kundi la Kiarabu la 3+1

    Mar 15, 2018 07:16

    Ushahidi unaonyesha kuwa, bara la Afrika sasa limegeuka na kuwa medani mpya ya mashindano ya kuwania ushawishi katika mgogoro unaonedelea kutokota baina ya Qatar na madola ya Kiarabu ya 3+1.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS