Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Kurejea tena uhusiano wa Qatar na Jordan; ishara ya kuendelea kufeli Saudi Arabia Mashariki ya Kati

    Kurejea tena uhusiano wa Qatar na Jordan; ishara ya kuendelea kufeli Saudi Arabia Mashariki ya Kati

    Mar 14, 2018 02:43

    Baada ya kupita miezi tisa ya kukata uhusiano na Qatar, serikali ya Jordan imechukua hatua za kuanzisha tena uhusiano wake na Doha baada ya kuhuisha tena ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji vitega uchumi na nchi hiyo.

  • Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar

    Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar

    Mar 12, 2018 07:22

    Ibrahim Ghandour, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Sudan amesema kuwa, nchi yake iko tayari kustawisha ushirikiano wake na nchi ya Qatar.

  • Vita vipya vya maneno kati ya Saudi Arabia na Qatar

    Vita vipya vya maneno kati ya Saudi Arabia na Qatar

    Mar 10, 2018 08:04

    Vita vya maneno baina ya viongozi wa Qatar na Saudi Arabia kwa mara nyingine tena vimeshika kasi na kugonga vichwa vya habari.

  • Marekani kuwekeana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati; Doha yaishtaki Abu Dhabi kwa UN

    Marekani kuwekeana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati; Doha yaishtaki Abu Dhabi kwa UN

    Mar 09, 2018 03:55

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani jana (Alkhamisi) ilisema kuwa karibuni hivi nchi hiyo itatiliana saini mikataba mipya ya silaha na Qatar na Imarati ambayo itakuwa na thamani ya dola milioni 467.

  • Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar

    Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar

    Mar 06, 2018 02:27

    Kanali ya televisheni ya Aljazeera ya Qatar imeonyesha filamu ya matukio (documentary film) iitwayo "Qatar 96" inayothibitisha kuwa Saudi Arabia, Imarati (UAE), Bahrain na Misri zilihusika katika jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 1996 nchini Qatar.

  • Ulimwengu wa Michezo, Feb 26

    Ulimwengu wa Michezo, Feb 26

    Feb 26, 2018 07:56

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita...

  • Mazungumzo ya Sheikh Tamim na Ismail Hania; kuendelea uungaji mkono wa Qatar kwa Gaza

    Mazungumzo ya Sheikh Tamim na Ismail Hania; kuendelea uungaji mkono wa Qatar kwa Gaza

    Feb 10, 2018 01:38

    Siku ya Alkhamisi, Sheikh Tamim bin Ahmad Aal Thani, Amir wa Qatar alifanya mazungumzo na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS. Baada ya mazuangumzo hayo, Sheikh Tamim alitoa msaada wa Dola milioni 9 kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia dawa na chakula kwa ajili ya Qatar

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia dawa na chakula kwa ajili ya Qatar

    Feb 02, 2018 08:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Mohammed bin Abdulrahman Al Thani amesema, baada ya nchi yake kuwekewa mzingiro na Saudi Arabia na waitifaki wake, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ndio njia pekee ya kudhaminia dawa na chakula kwa wananchi wa Qatar.

  • UAE iliilipa kampuni ya Marekani kueneza propaganda dhidi ya Qatar

    UAE iliilipa kampuni ya Marekani kueneza propaganda dhidi ya Qatar

    Jan 21, 2018 07:48

    Shirika la habari la NBC News limefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu uliilipa kampuni moja ya Marekani dola 333,000 ili kueneza propaganda chafu dhidi ya Qatar mwaka jana.

  • Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Jan 13, 2018 03:44

    Licha ya kupita zaidi ya miezi 7 tokea kuanza mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za kundi la 3+1, si tu kwamba hakuna dalili zozote zinazoonyesha kupungua mvutano huo bali umekuwa ukiongezeka siku baada ya nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS