Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi

    Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi

    Jan 12, 2018 04:19

    Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amewasilisha mashitaka kwa Baraza la Usalama la Umoja dhidi ya Imarati kutokana na hatua yake ya kichokozi ya kukiuka anga yake.

  • Qatar: Iran ingelitaka ingeliweza kututesa kwa njaa

    Qatar: Iran ingelitaka ingeliweza kututesa kwa njaa

    Jan 11, 2018 16:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, lau ingelitaka, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ingeliweza kutumia tofauti zake za kisiasa na Doha kuwatesa kwa njaa wananchi wa Qatar, lakini kamwe haikufanya hivyo.

  • Qatar: Mzingiro wa Saudia, waitifaki wake dhidi yetu ni vita vya kiuchumi

    Qatar: Mzingiro wa Saudia, waitifaki wake dhidi yetu ni vita vya kiuchumi

    Jan 11, 2018 07:43

    Qatar imesema kukatwa uhusiano wa kidiplomasia, mzingiro na vikwazo ilivyowekewa na Saudi Arabia na waitifaki wake ni vita vya kiuchumi na Doha ipo mbioni kuhakikisha kuwa inafidiwa kutokana na hatua hizo za kiuhasama.

  • Mgogoro wa Qatar unazidi kuwa mkubwa, Saudia yazidisha mashinikizo

    Mgogoro wa Qatar unazidi kuwa mkubwa, Saudia yazidisha mashinikizo

    Dec 21, 2017 02:41

    Katika kile kinachoonekana ni kukosekana matumaini kabisa ya kutatuliwa mgogoro ulioanzishwa na Bani Saud dhidi ya Qatar, serikali ya kifalme ya Saudi Arabia imeamua kuufunga kikamilifu kivuko cha mpaka wake wa ardhini na Qatar ambacho ilikifungua kidogo wakati wa msimu wa Hija.

  • Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Dec 20, 2017 16:24

    Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).

  • Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar

    Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar

    Nov 29, 2017 08:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameeleza kughadhibishwa kwa Imarati na hatua ya shirika moja la kutetea haki za binadamu kufungua faili la jinai za kivita za nchi hiyo dhidi ya Yemen.

  • Imarati: Muungano wa kijeshi wa Saudia unapaswa kuishambulia kwa bomu al-Jazeera

    Imarati: Muungano wa kijeshi wa Saudia unapaswa kuishambulia kwa bomu al-Jazeera

    Nov 26, 2017 13:15

    Afisa mwandamizi wa usalama wa Umoja wa Falme za Kiarabu ametoa mwito kwa muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia kuishambulia kwa bomu kanali ya televisheni ya al-Jazeera ya Qatar.

  • Qatar: Saudia inafanya ukandamizaji ndani ya nchi na uchochezi nje ya nchi

    Qatar: Saudia inafanya ukandamizaji ndani ya nchi na uchochezi nje ya nchi

    Nov 21, 2017 13:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amekosoa vikali sera ya utawala wa Aal-Saud ya kuwakandamiza wananchi wa Saudi Arabia na wakati huo huo kuzichochea nchi nyingine.

  • Qatar: Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa

    Qatar: Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa "kipekee"

    Nov 19, 2017 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ameutaja uhusiano uliopo kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa wa "kipekee".

  • Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti

    Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti

    Nov 18, 2017 07:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema utawala wa Saudi Arabia unachochea migogoro na mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati sambamba na kuzikandamiza na kuzinyanyasa nchi ndogo katika eneo ili kuzishinikiza zipige magoti mbele yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS