-
Qatar yaishitaki Imarati UNSC kutokana na hatua zake za kichokozi
Jan 12, 2018 04:19Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amewasilisha mashitaka kwa Baraza la Usalama la Umoja dhidi ya Imarati kutokana na hatua yake ya kichokozi ya kukiuka anga yake.
-
Qatar: Iran ingelitaka ingeliweza kututesa kwa njaa
Jan 11, 2018 16:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, lau ingelitaka, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ingeliweza kutumia tofauti zake za kisiasa na Doha kuwatesa kwa njaa wananchi wa Qatar, lakini kamwe haikufanya hivyo.
-
Qatar: Mzingiro wa Saudia, waitifaki wake dhidi yetu ni vita vya kiuchumi
Jan 11, 2018 07:43Qatar imesema kukatwa uhusiano wa kidiplomasia, mzingiro na vikwazo ilivyowekewa na Saudi Arabia na waitifaki wake ni vita vya kiuchumi na Doha ipo mbioni kuhakikisha kuwa inafidiwa kutokana na hatua hizo za kiuhasama.
-
Mgogoro wa Qatar unazidi kuwa mkubwa, Saudia yazidisha mashinikizo
Dec 21, 2017 02:41Katika kile kinachoonekana ni kukosekana matumaini kabisa ya kutatuliwa mgogoro ulioanzishwa na Bani Saud dhidi ya Qatar, serikali ya kifalme ya Saudi Arabia imeamua kuufunga kikamilifu kivuko cha mpaka wake wa ardhini na Qatar ambacho ilikifungua kidogo wakati wa msimu wa Hija.
-
Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki
Dec 20, 2017 16:24Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).
-
Imarati yakerwa na kuwasilishwa kesi dhidi yake ICC, yailaumu Qatar
Nov 29, 2017 08:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameeleza kughadhibishwa kwa Imarati na hatua ya shirika moja la kutetea haki za binadamu kufungua faili la jinai za kivita za nchi hiyo dhidi ya Yemen.
-
Imarati: Muungano wa kijeshi wa Saudia unapaswa kuishambulia kwa bomu al-Jazeera
Nov 26, 2017 13:15Afisa mwandamizi wa usalama wa Umoja wa Falme za Kiarabu ametoa mwito kwa muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia kuishambulia kwa bomu kanali ya televisheni ya al-Jazeera ya Qatar.
-
Qatar: Saudia inafanya ukandamizaji ndani ya nchi na uchochezi nje ya nchi
Nov 21, 2017 13:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amekosoa vikali sera ya utawala wa Aal-Saud ya kuwakandamiza wananchi wa Saudi Arabia na wakati huo huo kuzichochea nchi nyingine.
-
Qatar: Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa "kipekee"
Nov 19, 2017 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ameutaja uhusiano uliopo kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa wa "kipekee".
-
Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti
Nov 18, 2017 07:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema utawala wa Saudi Arabia unachochea migogoro na mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati sambamba na kuzikandamiza na kuzinyanyasa nchi ndogo katika eneo ili kuzishinikiza zipige magoti mbele yake.