Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Rais Erdoğan aichoma moyo Saudia, asisitiza kuendelea kuiunga mkono Qatar

    Rais Erdoğan aichoma moyo Saudia, asisitiza kuendelea kuiunga mkono Qatar

    Nov 16, 2017 08:09

    Katika kile kinachonekana kuwa ni kuwachoma moyo viongozi wa Saudi Arabia katika mgogogro unaoendelea kati ya nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesisitizia uungaji mkono wake kwa Qatar.

  • Qatar: Tutaimarisha na kulinda uhusiano wetu na Iran

    Qatar: Tutaimarisha na kulinda uhusiano wetu na Iran

    Nov 13, 2017 15:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Iran ni nchi jirani na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi na kwamba Doha ina manufaa ya pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivyo haiwezi kukata uhusiano wake na Tehran.

  • Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Nov 12, 2017 07:38

    Katika msururu wa kurushiana maneneo viongozi wa Saudi Arabia na Uturuki, Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki amekosoa vikali matamshi ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia Mohammad Bin Salman kuhusu kile alichodai kuwa ni "Uislamu wa misimamo ya wastani."

  • Amir wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia chakula na dawa katika kipindi cha mzingiro

    Amir wa Qatar: Iran ndio njia pekee ya kupitishia chakula na dawa katika kipindi cha mzingiro

    Oct 31, 2017 02:46

    Mfalme wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amesema Iran ndio njia pekee ya kupitishia chakula kwa ajili ya wananchi wa Qatar waliowekewa mzingiro; na akaongeza kwamba Saudi Arabia na nchi nyengine tatu za Kiarabu zinakula njama ya kuubadilisha utawala katika nchi yake.

  • Bahrain yataka Qatar ipokonywe uanachama wa baraza la PGCC

    Bahrain yataka Qatar ipokonywe uanachama wa baraza la PGCC

    Oct 30, 2017 08:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain, Khalid bin Ahmed Aal Khalifah ametoa mwito wa kuondolewa Bahrain kwenye Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi (PGCC).

  • Amir wa Qatar awaonya wanaofanya njama za kuishambulia kijeshi nchi yake

    Amir wa Qatar awaonya wanaofanya njama za kuishambulia kijeshi nchi yake

    Oct 29, 2017 15:55

    Amir wa Qatar, Tamim Bin Hamad al-Thani ameonya kuwa, hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi italitumbukiza eneo zima la Mashariki ya Kati katika machafuko.

  • Marekani iliratibu misaada kwa magaidi Syria, afichua waziri mkuu wa zamani wa Qatar

    Marekani iliratibu misaada kwa magaidi Syria, afichua waziri mkuu wa zamani wa Qatar

    Oct 29, 2017 03:05

    Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar Hamad bin Jassim amefichua namna Marekani ilivyokuwa ikishirikiana na Saudi Arabia, Uturuki na Qatar yenyewe katika kiwafikishia misaada magaidi kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali ya Syria tokea mapigano yaanze nchini humo mwaka 2011.

  • Tillerson: Nchi zinazoizingira Qatar ndio wahusika wa kuendelea mgogoro na nchi hiyo

    Tillerson: Nchi zinazoizingira Qatar ndio wahusika wa kuendelea mgogoro na nchi hiyo

    Oct 20, 2017 04:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Rex W. Tillerson amekiri wazi kwamba nchi zinazoshiriki katika kuizingira na kuiwekea vikwazo Qatar, ndio wahusika wa kuendelea mgogoro wa taifa hilo dogo la Kiarabu.

  • Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US

    Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US

    Oct 15, 2017 07:50

    Imebainika kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulikula njama ya kuishambulia kijeshi Qatar, kwa kutumia maelfu ya mamluki waliopata mafunzo ya kijeshi kutoka kampuni moja ya Marekani.

  • Ulimwengu wa Michezo, Okt 9

    Ulimwengu wa Michezo, Okt 9

    Oct 09, 2017 09:25

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi....

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS