Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Saudia yawaweka katika orodha nyeusi shakhsia wanaoiunga mkono Qatar

    Saudia yawaweka katika orodha nyeusi shakhsia wanaoiunga mkono Qatar

    Aug 19, 2017 15:09

    Mshauri wa Kasri la Ufalme nchini Saudi Arabia ametangaza habari ya kukamilika maandalizi ya orodha eti nyeusi ya watu wanaoiunga mkono Qatar na siasa zake za kigeni kuhusu mgogoro wa uhusiano wa nchi hiyo na ya Saudia, Imarati, Bahrain na Misri.

  • Saudia yafungua mpaka wa ardhini na Qatar; Doha yataka Hija isitumiwe kisiasa

    Saudia yafungua mpaka wa ardhini na Qatar; Doha yataka Hija isitumiwe kisiasa

    Aug 17, 2017 14:30

    Saudi Arabia imefungua mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar kuruhusu mahujaji kutoka nchi hiyo ndogo ya Kiarabu kuelekea kwenye ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.

  • Iran, Uturuki na Qatar zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara

    Iran, Uturuki na Qatar zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara

    Aug 06, 2017 07:22

    Mawaziri watatu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Qatar na Uturuki wamefanya mkutano hapa mjini Tehran na kuzungumzia mikakati ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara wa pande tatu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Nchi nne za Kiarabu zilizotuwekea vikwazo zina nia mbaya

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Nchi nne za Kiarabu zilizotuwekea vikwazo zina nia mbaya

    Aug 03, 2017 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar kwa mara nyingine tena amelaani kikao dhidi ya nchi yake kilichofanyika hivi karibuni huko Bahrain na kuendelea kuzingirwa nchi hiyo na Saudi Arabia na waitifaki wake.

  • Qatar: Saudi Arabia inaitumia Hija kwa malengo ya kisiasa

    Qatar: Saudi Arabia inaitumia Hija kwa malengo ya kisiasa

    Aug 01, 2017 08:13

    Wizara ya Waqfu na Masuaia ya Kiislamu ya Qatar imeituhumu Saudi Arabia kuwa inaitumia vibaya ibada ya Hija kwa malengo yake ya kisiasa.

  • Nchi nne za Kiarabu zang'ang'ania msimamo wao wa kuendeleza vikwazo dhidi ya Qatar

    Nchi nne za Kiarabu zang'ang'ania msimamo wao wa kuendeleza vikwazo dhidi ya Qatar

    Jul 31, 2017 04:27

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu zilizovunja uhusiano wa kidiplomasia na Qatar na kuiwekea vikwazo nchi hiyo wametoa taarifa wakitilia mkazo misimamo ya hapo kabla ya nchi hizo na kuendelezwa vikwazo dhidi ya Doha.

  • Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja

    Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja

    Jul 30, 2017 15:13

    Kamisheni Taifa ya Haki za Binadamu nchini Qatar imelalamikia vikali uendeshaji wa kisiasa wa ibada tukufu ya Hijja unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia.

  • Qatar yauomba Umoja wa Mataifa usaidie kutatua mgogoro wake na nchi nyingine za Kiarabu

    Qatar yauomba Umoja wa Mataifa usaidie kutatua mgogoro wake na nchi nyingine za Kiarabu

    Jul 28, 2017 07:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman bin Jasim Al Thani amemwomba Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa achukue hatua kusaidia kutatua mgogoro kati ya nchi yake na nchi nyingine kadhaa za Kiarabu zikiongozwa na Saudi Arabia.

  • Qatar yakadhibisha madai mapya ya Saudi Arabia

    Qatar yakadhibisha madai mapya ya Saudi Arabia

    Jul 27, 2017 03:23

    Mkurugenzi wa Ofisi ya Mawasiliano ya serikali ya Qatar ameyataja madai mapya ya nchi nne za Kiarabu zilizoiwekea Doha vikwazo kuwa ni ya uwongo na yenye kukatisha tamaa.

  • Nchi nne za Kiarabu zashadidisha vikwazo vyao dhidi ya Qatar

    Nchi nne za Kiarabu zashadidisha vikwazo vyao dhidi ya Qatar

    Jul 25, 2017 14:16

    Nchi nne za Kiarabu zilizovunja uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar na kuiwekea vikwazo nchi hiyo ya Kiarabu leo zimetoa orodha mpya ya majina ya taasisi na shakhsia zinaodai kuwa wana mfungamano na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS