Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • London yakaribisha juhudi za Doha za kupunguza mivutano kati yake na nchi za Kiarabu

    London yakaribisha juhudi za Doha za kupunguza mivutano kati yake na nchi za Kiarabu

    Jul 24, 2017 07:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekaribisha juhudi za serikali ya Qatar za kupunguza mivutano kati yake na nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Imarati na Saudia zakataa wito wa Qatar wa mazungumzo

    Imarati na Saudia zakataa wito wa Qatar wa mazungumzo

    Jul 23, 2017 14:07

    Umoja wa Falme za Kiarabu umekataa wito uliotolewa hivi karibuni na Amir wa Qatar, Sheikh Tamin bin Hamad al-Thani, wa kufanyika mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, na kusisitiza kuwa Doha sharti ibadili sera zake kabla ya kufanyika jitihada zozote za kuiondolea vikwazo nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi, iivyowekewa na Saudia na wapambe wake.

  • Qatar: Tangu awali tulipinga muungano wa Saudia wa kuishambulia Yemen

    Qatar: Tangu awali tulipinga muungano wa Saudia wa kuishambulia Yemen

    Jul 19, 2017 14:20

    Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema kuwa, tangu awali Doha ilipinga muungano unaoongozwa na Saudia katika kuishambulia kijeshi Yemen, kwani iliamini utatuzi wa mgogoro huo haukuwa wa kijeshi.

  • Imarati: Juhudi za upatanishi wa Kuwait katika mgogoro wa nchi za Kiarabu zitaambulia patupu

    Imarati: Juhudi za upatanishi wa Kuwait katika mgogoro wa nchi za Kiarabu zitaambulia patupu

    Jul 19, 2017 02:27

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Imarati, Anwar Mohammed Qarqash amesema kuwa, juhudi za upatanishi wa Kuwait kwa ajili ya kutafuta utatuzi wa mgogoro wa nchi za Kiarabu, zitaambulia patupu iwapo Qatar haitabadilisha siasa zake.

  • Qatar kuishtaki Imarat kwa kuhusika na udukuzi

    Qatar kuishtaki Imarat kwa kuhusika na udukuzi

    Jul 18, 2017 15:14

    Serikali ya Qatar imeeleza kusikitishwa sana na hatua ya Imarat ya kudukua mitandao ya intaneti ya serikali ya Doha, suala ambalo limeibuka mgogoro wa sasa kati ya nchi hizo mbili na kusisitiza kuwa, Doha itawafungulia mashtaka wahusika wa uhalifu huo.

  • Kuzidi kutokota mgogoro ndani ya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Kuzidi kutokota mgogoro ndani ya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jul 17, 2017 09:58

    Baada ya Rex Tillerson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kushindwa kupatanisha mgogoro wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi ulioanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Qatar, maafisa wa kijasusi wa Marekani wametangaza kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati ndiyo iliyodukua mitandao ya Intaneti ya Qatar na kuzua mgogoro uliopo hivi sasa.

  • Saudia yaichochea FIFA iipokonye Qatar uwenyeji wa Kombe la Dunia 2022

    Saudia yaichochea FIFA iipokonye Qatar uwenyeji wa Kombe la Dunia 2022

    Jul 16, 2017 07:01

    Saudi Arabia inaziongoza nchi kadhaa za Kiarabu katika kulishinikiza Shirikisho la Soka Duniani kuipokonya Qatar haki ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 2022 kwa madai kuwa nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi inaunga mkono ugaidi.

  • Qatar: Ugaidi wa kisiasa ndio kikwazo cha vita dhidi ya ugaidi

    Qatar: Ugaidi wa kisiasa ndio kikwazo cha vita dhidi ya ugaidi

    Jul 16, 2017 04:15

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa, ugaidi wa kisiasa na kifikra wa baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati ndio kikwazo kikuu hii leo katika vita dhidi ya ugaidi.

  • HRW: Saudia na wenzake imekiuka haki za binaadamu kwa vikwazo vyao Qatar

    HRW: Saudia na wenzake imekiuka haki za binaadamu kwa vikwazo vyao Qatar

    Jul 14, 2017 14:35

    Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limezitaka nchi za Saudia, Imarati na Bahrain kuheshimu haki za binaadamu katika vikwazo vyao dhidi ya Qatar.

  • Qatar yaionya Saudia na hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Doha

    Qatar yaionya Saudia na hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Doha

    Jul 11, 2017 03:07

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar ameionya Saudi Arabia kuhusiana na kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS