-
Amir wa Qatar na Waziri Mkuu wa Malaysia wajadili uhusiano wa pande mbili na hali ya Gaza
May 14, 2024 07:14Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amekutana na kufanya mazungumzo na Anwar Ibrahim Waziri Mkuu wa Malaysia katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha. Waziri Mkuu wa Malaysia yuko nchini Qatar kwa ziara ya siku tatu.
-
Mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza na uwezekano wa Qatar kuangalia upya sera zake za kigeni za usuluhishi
Apr 21, 2024 02:17Muhammad bin Abdulrahman Al Thani Waziri Mkuu wa Qatar amesema kuwa nchi hiyo inatathmini upya nafasi yake kama msuluhishi kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
Qatar: Tuna matumaini ya kupatikana usitishaji vita Ukanda wa Ghaza
Mar 20, 2024 02:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema kuwa, kumeshuhudiwa maendeleo mazuri kwenye mazungumzo ya kusimamisha vita na ana matumaini mazungumzo hayo yatazaa matunda mazuri.
-
Lolwah Al-Khater: Hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel Gazah ni mauaji ya kimbari
Feb 29, 2024 03:02Lolwah Al-Khater, Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Qatar amesema kuwa, jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gazah ni kielelezo cha wazi cha mauaji ya kimbari.
-
Amir wa Qatar asisitiza ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2024 11:50Amir wa Qatar amesisitiza kuwa kuna ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi
Feb 14, 2024 07:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.
-
Qatar: Hamas imetoa jibu chanya kwa mpango wa Gaza wa kufikia mapatano ya kusitisha vita
Feb 07, 2024 05:56Waziri Mkuu wa Qatar amesema Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa "jibu chanya" kuhusiana na uwezekano wa kufikia usitishaji vita mpya katika Ukanda wa Gaza na kubadilishana mateka kati yake na utawala wa Israel.
-
Amir wa Qatar: Mashambulio ya Israel Gaza yasimamishwe, usitishaji vita utekelezwe haraka
Jan 08, 2024 06:12Amir wa Qatar amesisitiza juu ya kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kutekelezwa haraka usitishaji vita katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Amir Abdollahian: Ushirikiano wa karibu wa Iran na Qatar ni dhihirisho la kuaminiana kati ya nchi mbili
Dec 19, 2023 07:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amsema kuwa ushirikiano wa karibu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar katika changamoto na masuala mbalimbali ya kimataifa na kikanda unaonyesha hali ya kuaminiana iliyopo kati ya nchi mbili.
-
Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama
Dec 07, 2023 03:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wanamapambano wa makundi ya muqawama ya Palestina wameendelea kutoa majibu makali na ya nguvu kwa uvamizi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, na kwamba mwenendo wa majibu hayo utauweka utawala wa Kizayuni kwenye hali mbaya katika siku zijazo.