Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Amir wa Qatar na Waziri Mkuu wa Malaysia wajadili uhusiano wa pande mbili na hali ya Gaza

    Amir wa Qatar na Waziri Mkuu wa Malaysia wajadili uhusiano wa pande mbili na hali ya Gaza

    May 14, 2024 07:14

    Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amekutana na kufanya mazungumzo na Anwar Ibrahim Waziri Mkuu wa Malaysia katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha. Waziri Mkuu wa Malaysia yuko nchini Qatar kwa ziara ya siku tatu.

  • Mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza na uwezekano wa  Qatar kuangalia upya sera zake za kigeni za usuluhishi

    Mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza na uwezekano wa Qatar kuangalia upya sera zake za kigeni za usuluhishi

    Apr 21, 2024 02:17

    Muhammad bin Abdulrahman Al Thani Waziri Mkuu wa Qatar amesema kuwa nchi hiyo inatathmini upya nafasi yake kama msuluhishi kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Qatar: Tuna matumaini ya kupatikana usitishaji vita Ukanda wa Ghaza

    Qatar: Tuna matumaini ya kupatikana usitishaji vita Ukanda wa Ghaza

    Mar 20, 2024 02:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema kuwa, kumeshuhudiwa maendeleo mazuri kwenye mazungumzo ya kusimamisha vita na ana matumaini mazungumzo hayo yatazaa matunda mazuri.

  • Lolwah Al-Khater: Hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel Gazah ni mauaji ya kimbari

    Lolwah Al-Khater: Hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel Gazah ni mauaji ya kimbari

    Feb 29, 2024 03:02

    Lolwah Al-Khater, Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Qatar amesema kuwa, jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gazah ni kielelezo cha wazi cha mauaji ya kimbari.

  • Amir wa Qatar asisitiza ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni Ukanda wa Gaza

    Amir wa Qatar asisitiza ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni Ukanda wa Gaza

    Feb 28, 2024 11:50

    Amir wa Qatar amesisitiza kuwa kuna ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi

    Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi

    Feb 14, 2024 07:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.

  • Qatar: Hamas imetoa jibu chanya kwa mpango wa Gaza wa kufikia mapatano ya kusitisha vita

    Qatar: Hamas imetoa jibu chanya kwa mpango wa Gaza wa kufikia mapatano ya kusitisha vita

    Feb 07, 2024 05:56

    Waziri Mkuu wa Qatar amesema Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa "jibu chanya" kuhusiana na uwezekano wa kufikia usitishaji vita mpya katika Ukanda wa Gaza na kubadilishana mateka kati yake na utawala wa Israel.

  • Amir wa Qatar: Mashambulio ya Israel Gaza yasimamishwe, usitishaji vita utekelezwe haraka

    Amir wa Qatar: Mashambulio ya Israel Gaza yasimamishwe, usitishaji vita utekelezwe haraka

    Jan 08, 2024 06:12

    Amir wa Qatar amesisitiza juu ya kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kutekelezwa haraka usitishaji vita katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Amir Abdollahian: Ushirikiano wa karibu wa Iran na Qatar ni dhihirisho la kuaminiana kati ya nchi mbili

    Amir Abdollahian: Ushirikiano wa karibu wa Iran na Qatar ni dhihirisho la kuaminiana kati ya nchi mbili

    Dec 19, 2023 07:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amsema kuwa ushirikiano wa karibu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar katika changamoto na masuala mbalimbali ya kimataifa na kikanda unaonyesha hali ya kuaminiana iliyopo kati ya nchi mbili.

  • Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama

    Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama

    Dec 07, 2023 03:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wanamapambano wa makundi ya muqawama ya Palestina wameendelea kutoa majibu makali na ya nguvu kwa uvamizi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, na kwamba mwenendo wa majibu hayo utauweka utawala wa Kizayuni kwenye hali mbaya katika siku zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS